mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,168
Propaganda zenu zimekufa
Watu walio na mahitaji ya kweli ya mabadiliko hawapati tatizo kuhusu kinachoendelea CDM.Wapo pamoja na wanaendelea kuwabaini wasaliti moja baada ya mwingine.Wanaopinga na wanaotoa matamko ni dhahiri wanapandikizwa na CCM.
Nawasifu viongozi/wanachama watiifu wa chandema ambao hawaja tetereka na vuguvugu hili la usaliti ambao ndio ilikuwa silaha ya CCM kuiangamiza CDM,ambayo ni dhahiri imeshindwa.Sina hakika kama wamebakiwa na silaha zingine,lakini kwa muda uliobakia kuelekea uchaguzi mkuu kama wataendelea na mchezo huo hakika watashindwa vibaya maana hila zao zimegundulika pia upande wa pili hali za maisha za Watanzania ninazidi kuwa ngumu kutoka na usimamizi duni wa uchumi,wao wamekalia kuidhoofisha CDM. "TIME WILL TELL"
jamani mwenye sifa tumpe sifa yake wakuu, mimi toka nimefatilia kwa karibu hekima, maarifa na siasa za dr.slaa, ninathubutu kusema huyu mzee ni miongoni mwa simba(wakombozi) wa africa, dr.slaa ni mwanasiasa hasa, ni jemedari na kamanda mpiganaji aliye jasiri mithili ya steve biko na mwenye muono mithili cout camilo cavour wa italy.
Mungu ampe maisha marefu sana kamanda wetu na hakika historia itakuandika na kukumbuka kama shujaa wa haki mwenye ujasiri na kweli aliyeshuka zama hizi.
Dr w slaa , kazi ni nzuri sana .
naomba namba yako ya m-pesa
...
....Nguvu za Mungu zimeshuka Kigoma ..
...Mji umetikisika Matunguri yanaendela kulipuka...
Mungu na Chadema...Chadema na Mungu...
Si bora yeye kuliko yule aliyejaladia hadi ulinzi wa majini kwenye kampeni za urais 2010? Nimekumbuka jinsi Kiongozi wa Brigedia ya ulinzi wa Majini alivyotishia hadi wagombea urais wengine kuwa atakayempinga JK atakufa ghafla......
Huyo dokta Jakaya ni veterinary doctor au? Kasomea chuo gani yakhe?Unataka kumfananisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete na kijidokta cha kanoni kilichoshindwa kuongoza kondoo na badala yake kudandia wake za watu? Unanchekesha!
bavicha bhana!hivi dr slaa kwa nini hakwenda kabla ya matukio ya kuvuliwa uongozi?
picha tafadhali...
bavicha bhana!hivi dr slaa kwa nini hakwenda kabla ya matukio ya kuvuliwa uongozi?
Kwa hiyo sasa hivi mpinzani wetu ni Zitto na sio CCM tena?
Kwa hiyo sasa hivi mpinzani wetu ni Zitto na sio CCM tena?
Duh! hii kali Slaa anafananishwa na Yesu?haha hahaha hahah! YESU kamfuata SHETANI kuzimu, kumnyang'anya mamlaka. Utaipenda!!!!
Huyo dokta Jakaya ni veterinary doctor au? Kasomea chuo gani yakhe?
...
....Nguvu za Mungu zimeshuka Kigoma ..
...Mji umetikisika Matunguri yanaendela kulipuka...
Mungu na Chadema...Chadema na Mungu...