Ha ha ha umenikumbusha yale masutiKwa nchi za wenzetu kiongozi kupewa zawadi ya kitabu ni heshima kubwa. Maana yake ni kwamba aliyekupa kitabu anatambua upstairs upo vizuri, unaweza kusoma na kudigest contents ya kitabu chenyewe kwa manufaa ya jamii yako. Kwenye moja ya picha kwenye hii thread naona Dr. Slaa akikabidhiwa zawadi ya kitabu. Viva Dr. Slaa.
Short of that angekabidhiwa zawadi ya mpira wa miguu au CD ya muziki kama wangemwona ni mtu wa blah blah na mizaha ya kubembea.