Dr. Slaa Atembelea Moja Ya Bandari Kubwa Marekani !

Dr. Slaa Atembelea Moja Ya Bandari Kubwa Marekani !

Hivi Dr.Slaa ameishawahi kutembelea bandari zetu, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Bukoba, kufahamu zinaitaji nini.

Dr. Slaa bandari ya Alabama haiuwezi kukusaidia kitu labda kupiga picha kama ni muendelezo wa safari yako ya utalii hakuna tatizo.

Kama una uchungu na nchi yako anza kutembelea bandari za nchi yako hili hujue maitaji yao.

wewe kwa akili yako chafu unadhani dr slaa haujui ubabaishaji na ufisadi uliopo katika bandari zetu? mbona wote ukiwemo hata wewe mburula wanajua yanayotendeka ktk bandari zetu! hayahitaji study tour labda kwa maccm yaliyozoea tume za uchunguzi kwa kila inshu hata kama ziko dhahiri.
 
Dr. Slaa, mjanja sana hivi Alabama kweli ni bandari kubwa Marekani.

Na Bandari ya South Lousiana, bandari ya Houston,bandari ya New York.

Hizi utasemaje, bandari ya Alabama haina hata wafanyakazi.

"Moja" ya bandari kubwa.
 
Serikali ya Republicans chini ya Bush ilifanya serikali ya Kikwete ipokee karibu dola million nia nane za millennium challenge barabara nyingi anazolingia KIkwete ndio pesa imetoka kwa serikali ya Republicans ,mambo ya siasa zao za ndani waachie wao
Sidhani kama uvamizi wa Iraq, Afghanistan, na sasa naona ni marafiki zenu ni jambo linalohusiana na siasa za ndani?? Tungependa kujua nini malengo ya marafiki zenu hao wapya na siasa zetu za ndani, pamoja na faida mtakazowapa baada ya kuwapa misaada yao...maana naona Dr, hapo anapata chakula na mshauri wa Bush, sasa sijui tutegemee nini kutokana na hiyo dinner??
 
Hivi Dr.Slaa ameishawahi kutembelea bandari zetu, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Bukoba, kufahamu zinaitaji nini.
Dr. Slaa bandari ya Alabama haiuwezi kukusaidia kitu labda kupiga picha kama ni muendelezo wa safari yako ya utalii hakuna tatizo.
Kama una uchungu na nchi yako anza kutembelea bandari za nchi yako hili hujue maitaji yao.
I will never vote for Dr. Slaa, huyu jamaa yupo USA kwa zaidi ya week mbili anafanya nini na ni nani anagharamia gharama hizi? Pili kitendo cha kuambatana na Josephine katika mambo ya business ni breach of contract. Matanuzi haya ndiyo yaliyomfanya Josephine kumganda hili jamaa. Dr Slaa na Josephine ni wafujaji wa pesa za Umma
 
Wewe ni mjinga sana shule haijakukomboa Alabama ni state inajitawala ina gavana anayesimamia serikali hiyo ambaye ndio raisi wa Alabama kwa namna nyingine anayewajibika kwenye serikali ya muungano wa marekani iliyoko Washington Dc duh unadhani JF ni jukwaa la wajinga eti

Wewe kweli SIFURI.

Gavana sio Rais.

Maamuzi ya gavana hayana uhusiano na ushirikiano kati ya Serikali ya Marekani na nchi nyingine.

Slaa kaongea nini na gavana?
 
Huu uzi na picha zake ni meseji kwa vyama vingine.....yaani ni kama chadomo tunawaambia....nyie chapeni usingizi tu.

Mnapoona wenzenu kila kukicha tunawaza (maandamano) kukusanya vijana (waendesha boda boda zaidi), tunawapa viroba, wanaingia mitaani......wanachezea mkong'oto wa ffu........crew wetu (well trained) wanapata documentary safiiiiii....Asikwambie mtu wale wazungu ukiwapelekea makala (documentary) za aina hizo hata ukitaka wakupeleke hollywood kina Harrison Ford wakakuoshe miguu...utapelekwa...

NCCR.....NLD....CCJ.....UDP...na wengine chacharikeni na nyie...msidhani hayo mahelikopta tunayozunguka nayo yanakuja bure....changamkieni fursa mbusi nyie...fijana wamejasana huko ungalimitedi...wanafuta mabangi.....mnawesa hata kutengenesa ffu wenu..wakatembesa mkong'oto hevi (alimradi mhakikishe cameraman anapata tukio)...kesho na nyie mtaruka na chopa...mtafaa masuti makali kama dokta anavyoonekana (amependesa ajapendesa ?)...na mamsap pembeni...mtapokelewa kama VIP....Mungu akupe nini...............nawaibia siri za chama utasani mnanilipa filasa nyie.

Ila angalizo....mkizipeleka hizo makala (documentary) mseme mnapigani haki za wasionacho....si mnaona wenyewe kwenye picha hiyo misosi....uma na kisu....ndio tunawawakilisha wanyonge hivyo jamani.

.......Eti study tour....Sasa ujiulize hicho anachojifunza leo...siku zote alikuwa wapi ? wajinga ndio waliwao... (hili ni swali langu binafsi aliwahusu, nyie fuateni ushauri niliotoa hapo juu)
 
Hivi Dr.Slaa ameishawahi kutembelea bandari zetu, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Bukoba, kufahamu zinaitaji nini.

Dr. Slaa bandari ya Alabama haiuwezi kukusaidia kitu labda kupiga picha kama ni muendelezo wa safari yako ya utalii hakuna tatizo.

Kama una uchungu na nchi yako anza kutembelea bandari za nchi yako hili hujue maitaji yao.

Kwa mualiko wa nani? Au unataka hao watakao mualike wafukuzwe kazi? Sana sana hao wakuu wa hivyo vitengo vya bandari wakijua kwamba Dr. Slaa anakuja kuwatembelea, kila mmoja atakaimisha hiyo ofisi kwa siku hiyo!!!

Tafuta hoja nyingine.
 
Mwingilu A.K.A domo chafu kaenda Usa na Uk ili kujifunza matusi kwa kimombo tusubirie akurudi :glasses-nerdy:.
 
Naona tamthilia ya Dr. Slaa inaendelea.

Episode I ilikuwa kutembelea wanajeshi wa Marekani.

Episode II ilikuwa State Reception Alabama,ingawa kulikuwa hakuna wageni waalikwa wengine.

Episode III vision Tanzania kuzunguka bandari ya Alabama

Tusubiri Episode IIII sijui itatoka lini.

Andika na episode za Vasco da Gamba kwa kila ziara zake Marekani...! Au unaogopa ku-overload server...!
 
Hivi Dr.Slaa ameishawahi kutembelea bandari zetu, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Bukoba, kufahamu zinaitaji nini.

Dr. Slaa bandari ya Alabama haiuwezi kukusaidia kitu labda kupiga picha kama ni muendelezo wa safari yako ya utalii hakuna tatizo. Kama una uchungu na nchi yako anza kutembelea bandari za nchi yako hili hujue maitaji yao.
Wivu wa kike!!
 
Naona Dr. Slaa anazidi kutumbua ruzuku ya CHADEMA.

Wajinga ndiyo waliwao.

wewe ujanja wako ni upi?safari moja ya kiwete ni zaidi ya milioni 700 we na ujanja wako unaamburia posho ya sh.10,000 kwa wiki, kwa ujinga unaoupost humu jf,ukiugua ama kuuguliwa ukaenda gorvment hsptr we na mi tutaambiwa dawa hii hakuna kama vipi kanunueni madukani je wewe mwenye uchungu na ccm na mimi chadema nani wa kuitwa mjinga?
 
Naona tamthilia ya Dr. Slaa inaendelea.

Episode I ilikuwa kutembelea wanajeshi wa Marekani.

Episode II ilikuwa State Reception Alabama,ingawa kulikuwa hakuna wageni waalikwa wengine.

Episode III vision Tanzania kuzunguka bandari ya Alabama

Tusubiri Episode IIII sijui itatoka lini.
Kajifunze Roman numbering hakuna IIII ila ipo IV nyambaf wewe
 
Naona tamthilia ya Dr. Slaa inaendelea.

Episode I ilikuwa kutembelea wanajeshi wa Marekani.

Episode II ilikuwa State Reception Alabama,ingawa kulikuwa hakuna wageni waalikwa wengine.

Episode III vision Tanzania kuzunguka bandari ya Alabama

Tusubiri Episode IIII sijui itatoka lini.

KILANZA MKUBWA WEWE, (IIII) NDO NINI HIYO WEWE KILANZA WA BUKU 7! Elimu huna unajifanya unataka kuandika kisomi!
 
Naona Dr. Slaa anazidi kutumbua ruzuku ya CHADEMA.

Wajinga ndiyo waliwao.
Huo ni wehu, mnakurupuka na chuki zenu hamfanyi hata tafiti kidogo. Hapahapa JF tumekwisha elezwa ziara ya Dr Slaa ni mwaliko na kutajiwa imefadhiliwa na nani. Sasa kelele za nini?
 
Hivi hiyo Pete ya dada yangu Josephine kamvisha nani? Au ni ile ya kaka yangu ambae alibilisiwa na Slaa kwasababu ya fedha zake?

Tafadhali sana dada yangu wa Kanyigo vua Pete hiyo maana wee babu hajakuoa! Wee si unaona babu alivyokuwa Hana kitu kidoleni anajua ni mwizi hapo
 
Back
Top Bottom