OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Ni haki yako kujua kama kweli nchi unayosema inaendeshwa kidemokrasia, lakini pia kama si wivu na hoja mbisho juu ya safari zenye muono wa mafanikio kwa watanzania.
Dawa ya wivu na ubishi unaousemea ni kuweka facts tu mkuu,taarifa baaas wala haina haja ya kulowesha kwapa kwa jasho!!!!!
Tuliambiwa ni wakulima na.wafanyakazi sasa ni wanasiasa na wafanyabiashara somo namba moja!!!!!
Tunaambiwa ni demokrasia na maendeleo ok bas kwa sasa tuanze na hili la taarifa ikiwa sehemu ya demokrasia ndio request yangu mimi!!!!!!
Movement for change tumeipokea na tunaikubali lakini ni lazima tubadilike ki vitendo na mwanzo mwema huonekana asubuhi ambayo ndio hii