Dr. Slaa Atembelea Moja Ya Bandari Kubwa Marekani !

Dr. Slaa Atembelea Moja Ya Bandari Kubwa Marekani !

Dr.Slaa tunatakiwa tujifunze na sasa tuhamishie huo ujuzi kwetu nyumbani TZ!
 
Hivi Dr.Slaa ameishawahi
kutembelea bandari zetu, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma,
Bukoba, kufahamu zinaitaji nini.

Dr. Slaa bandari ya Alabama haiuwezi kukusaidia kitu labda kupiga picha
kama ni muendelezo wa safari yako ya utalii hakuna tatizo.

Kama una uchungu na nchi yako anza kutembelea bandari za nchi yako hili
hujue maitaji yao.

tunazifahamu bandari zetu inside out.! Tunawafahamu wafanyakazi wake tena kwa majina kuanzia mkurugenzi mpaka mfagiaji.!
Hakuna tiaichokijua kuhusu bandari zetu, huu si mda wa kupoteza kuzitembelea kila kukicha kama wanavyofanya CCM, tunapaswa tujifunze kwa wenzetu waliofanikiwa halafi turudi tuboreshe kwetu!
 
Hivi Dr.Slaa ameishawahi kutembelea bandari zetu, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Bukoba, kufahamu zinaitaji nini.

Dr. Slaa bandari ya Alabama haiuwezi kukusaidia kitu labda kupiga picha kama ni muendelezo wa safari yako ya utalii hakuna tatizo.

Kama una uchungu na nchi yako anza kutembelea bandari za nchi yako hili hujue maitaji yao.
Kama kawaida yako faatani uliyelaaniwa hukosi neno!
 
Naona tamthilia ya Dr. Slaa inaendelea.

Episode I ilikuwa kutembelea wanajeshi wa Marekani.

Episode II ilikuwa State Reception Alabama,ingawa kulikuwa hakuna wageni waalikwa wengine.

Episode III vision Tanzania kuzunguka bandari ya Alabama

Tusubiri Episode IIII sijui itatoka lini.

akili ndogo haiwezi kuelewa haya mambo.!
 
Dr Slaa anafanya utalii wa kichama na mchumba wake kwakutumia ruzuku za chama ambayo ni pesa ya walalahoi.
 
Hili lilihitaji hardly one day with books on table and a thermos full of tea or coffee to be figured out!!!!!

Ni muhimu kwa mtu anayetaka kuwa kiongozi wa Nchi kuwa na uelewa mpana zaidi wa masuala ya kiutawala na kiuchumi katika kiwango cha kimataifa ili hata akija kuwa kiongozi siku moja awe anawaonyesha wasaidizi wake njia za kupita kuelekea katika mafanikio ya kiuchumi.Hiyo ziara itamsaidia kujenga vision yake juu ya Tanzania atakayotaka kuijenga.JK alikuwa na nafasi nzuri ya kuji-expose na kujielimisha kwa mapana zaidi kuhusu masuala ya kiutawala na kiuchumi ya kimataifa wakati ule akiwa waziri wa mambo ya nje lakini akaichezea angalia sasa Nchi inavyomshinda.Hata huyo Lowassa sioni kama ana vision yoyote kwaajili ya Nchi hii na yeye yuko busy kuwalaghai Watanzania wamchague 2015.Hapa ni Dr Slaa tu peke yake ndiye anayeonekana kuwa makini na anayeonekana kuelewa nini ataenda kufanya Ikulu.Dr Slaa anafanya siasa za kisasa zaidi na za kimataifa hapa Tanzania.
 
Unaweza kuniambia kajifunza nini hapa zaidi ya kupiga picha hiyo bandari ya Alabama kwanza aina lolote hizo mashine hata bandari yetu inazo.

Nikuwekee bandari bora kabisa za Marekani, bandari haina kazi hakuna meli.

Najua hii sio bandari bora kwa USA..

Lakini Pia Itatuchukua muda kwa Tz kuwa na bandari bora kama za USA..

Nibora kujifunza kwenye kama hii, Ambayo ni ndogo lakini watu wanafanya kazi kwa ufanisi mkubwa kulinganisha na Tanzania.
 
Hongera sana Dr Slaa..! Lakini nina wasiwasi na kitu kimoja..! Viongozi wengi wenye msimamo duniani huwa wanapewa kansa na Marekani,Kuwa mwangalifu Dr Slaa,Ikiwezekana sahani yako ya Chakula iwe inapimwa kwanza au inabadilishwa,Hao jamaa ni hatari sana....
 
Ni muhimu kwa mtu anayetaka kuwa kiongozi wa Nchi kuwa na uelewa mpana zaidi wa masuala ya kiutawala na kiuchumi katika kiwango cha kimataifa ili hata akija kuwa kiongozi siku moja awe anawaonyesha wasaidizi wake njia za kupita kuelekea katika mafanikio ya kiuchumi.Hiyo ziara itamsaidia kujenga vision yake juu ya Tanzania atakayotaka kuijenga.JK alikuwa na nafasi nzuri ya kuji-expose na kujielimisha kwa mapana zaidi kuhusu masuala ya kiutawala na kiuchumi ya kimataifa wakati ule akiwa waziri wa mambo ya nje lakini akaichezea angalia sasa Nchi inavyomshinda.Hata huyo Lowassa sioni kama ana vision yoyote kwaajili ya Nchi hii na yeye yuko busy kuwalaghai Watanzania wamchague 2015.Hapa ni Dr Slaa tu peke yake ndiye anayeonekana kuwa makini na anayeonekana kuelewa nini ataenda kufanya Ikulu.Dr Slaa anafanya siasa za kisasa zaidi na za kimataifa hapa Tanzania.

ok,unadhani hakukuwa na umuhimu wa kuongozana na wataalamu wa fani.hizo anazotembelea????!!!!

Hivi alishapitishwa kuwa mgombea wa Urais???!!!
 
Hata utalii nao mwafanya issue kubwaa. Kweli Chadema ni mkia wa mbuzi

Ule wa kukumbatiwa na obama ulitia fola!

Sijawahi ona faida hata moja ya safari za fast jet zaidi ya kutafuta wapangaji wa vitalu (vya uwindaji, vya dhahabu, vya uranium, nk). Amebakiza kupangisha makabuli ya kinondoni. Na uhakika katika miaka miwili hii iliyobaki lazima atapangisha!
 
Nafuta rasmi neno doctor kwenye jina la wilbroad slaa,
Hakuna dr. mbumbumbu kama huyu.

Anauza sura, anataka nini huko kwa wazungu;
chama mwambieni arudi nyumbani kukiimarisha chama chake.

Naanza kujiuliza ni nani yuko mbele ya ziara ya slaa;
 
Last edited by a moderator:
Hivi Dr.Slaa ameishawahi kutembelea bandari zetu, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Bukoba, kufahamu zinaitaji nini.

Dr. Slaa bandari ya Alabama haiuwezi kukusaidia kitu labda kupiga picha kama ni muendelezo wa safari yako ya utalii hakuna tatizo.

Kama una uchungu na nchi yako anza kutembelea bandari za nchi yako hili hujue maitaji yao.

CCM hawaweziku kumkubalia..... nabii hakubaliki kwao..... wakimkubalia wanadhani atajiongezea umaaarufu....
 
Nafuta rasmi neno doctor kwenye jina la wilbroad slaa,
Hakuna dr. mbumbumbu kama huyu.

Anauza sura, anataka nini huko kwa wazungu;
chama mwambieni arudi nyumbani kukiimarisha chama chake.

Naanza kujiuliza ni nani yuko mbele ya ziara ya slaa;

Wewe ni mburula kabisa,,, hizo bandari ambazo zimekimbiwa na majirani kwani mawaziri wa mawaziri wa maccm wameboreshaje bandari zetu...
 
Last edited by a moderator:
ok,unadhani hakukuwa na umuhimu wa kuongozana na wataalamu wa fani.hizo anazotembelea????!!!!

Hivi alishapitishwa kuwa mgombea wa Urais???!!!

Mbona Lowassa anapita huku na huko mara ajisimike U-shehe misikitini mara U-laigwanan mara Utemi kwani naye alishateuliwa kugombea Urais na Chama chenu?
 
Naona tamthilia ya Dr. Slaa inaendelea.

Episode I ilikuwa kutembelea wanajeshi wa Marekani.

Episode II ilikuwa State Reception Alabama,ingawa kulikuwa hakuna wageni waalikwa wengine.

Episode III vision Tanzania kuzunguka bandari ya Alabama

Tusubiri Episode IIII sijui itatoka lini.

Ulilazimishwa au mchezo uliupenda mwenyewe? Madhara ndo kama haya,njia kua kubwa,kuj@mba kwa hisia na ubongo kuathirika
 
Mbona Lowassa anapita huku na huko mara ajisimike U-shehe misikitini mara U-laigwanan mara Utemi kwani naye alishateuliwa kugombea Urais na Chama chenu?
Mimi si mwanachama wa chama.chochote mkuu mi mwenyewe ni chama tosha na hivi tutaruhusiwa kuwa wagombea binafsi just be patient.

Swali la msingi ni kuwa unadhani hakukuwa na umuhimu wa kuongozana na wataalamu wa fani husika????!!!!!!

Swali naye linawahusu wenye chama chao
 
Mtu mwenye nia nzuri na jambo fulani huwa anaonekana tu, tena mapema sana, wengi wanabeza, washutumu, wanakereka, wanalaumu, wanatamani wawe wao tu.

Kwa mtazamo wangu haya anayofanya slaa alipaswa afanye mchumi daraja la kwanza alienda marekani kufungua matawi ya sisiemu wakati yapo miaka kibao na wala hajawasaidia watanzania wanaoishi huko,dr slaa mpk sasa ashatembelea sehemu za afya, biashara, na usalama, na upande wa naibu katibu ziara yake inafaida gani kama hatuoni impact za ziara yake direct kupitia mikutano anayofanya?

Dr slaa popote ulipo nakuomba uwashe ipad yako then ingia youtube tafuta wimbo wa"MUNGU MWENYE NGUVU" sikiliza wimbo huo utakutia nguvu sana katika juhudi zako mkuu.....cc wilbroad slaa
 
Magamba bana vichekesho vitupu.

Slaa katembelea community college. Wakaanza oh! Hiyo ni kama veta tu. Katembelea bandari. Akina ritzkoko wanakuja oh! atembelee bandari ya tanga au dar. Bila shaka hata akitembelea Havard, watasema kwanini asiende hapo Udom au Mzumbe au Mlimani.

Mungu akunyime vyote, lakini sio upeo wa kufikiri. Ni hatari sana taifa hili kuongozwa na wajingawajinga kama hawa.
 
Back
Top Bottom