mzalendokimathi
Member
- Aug 11, 2012
- 20
- 2
sababu watu wa vijijini hawapati story nyengine badala ya kunywa gongo na chadumu hivyo lazima kwenye mabasi wazungumze hicho chama.
CUF siyo chama cha upinzani ni CCM B.Umekosea sana!
Dr Slaa kiboko yao ,endelea kumponda nyoka kichwani.
Kilosa wachaga wengi sana ndiyo maana...hahahahahahahahaha...M4C mwanzo mwisho
waangalie wasije wakageuzwa kondoo wa bwana tu, manake hicho chadumu ni chaka katoliki so they should be careful .
Kama Chemical Ally vile!!!!
haya mabadiliko ya katiba yalikumo kwenye ilani ya ccm???Chadema bado hakijawa chama cha upinzani hasa...hebu kuna walau nukata moja ya sheria za nchi hii mumeshawishi kubadilishwa walau iwemo katika sehemu ya mafanikio yenu...naona mnapwaga tu!
ok kumbe kuna CUF mbili ni bora ututajie na viongozi wake piaCUF ni CCM B zanzibar siyo bara a.k.a. tanganyika
ok kumbe kuna CUF mbili ni bora ututajie na viongozi wake pia
yaani wa bara na visiwani hasa wale wakuu wa kitaifa
Wewe njiwa ndiye utakaye zimia, hatuhitaji ufe ili uweze kuona M4C inavyo songa mbele kumkomboa Mtanzania!!! Naona hata Nape atakuona mzigo hataweza tena kukulipa!!!!hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !
Jaman kuna watu wanajifanya hawajui nguvu za chadema, ukweli moyoni inawauma sana siku moja nmeongea na MWENYEKITI WA COUNCIL Mmoja ambaye ni CCM alikiri sa iv hawana pa kushika, anasubiri muda ili aangalie ustarabu mwingine. Alisema watu sasa hawadanganyiki na yeye anaongoza kata ya kijijin kabsa
Wewe njiwa ndiye utakaye zimia, hatuhitaji ufe ili uweze kuona M4C inavyo songa mbele kumkomboa Mtanzania!!! Naona hata Nape atakuona mzigo hataweza tena kukulipa!!!!