Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

Dr Slaa asambaratisha CUF Kilosa

baadhi ya watu wana mawazo HASI kuwa mabadiliko hayawezekeni ,ukweli ni kwamba mabadiliko yana wezekana wasiwe na hofu na wasiwasi wakubali wao wenyewe kubadilika na uzuri wa watanzania wa leo ni wajanja hawadanganyika

Ni kweli mkuu hakuna lisilowezekana chini ya jua....
 



why -

a ) chadema ni wakabila

b) chadema ni chama cha kikanda

c) chadema ni wadini "anti muslims"


conclusion - chadema they will never ever kuja kukama madaraka tanzania "FACT" No discussion

Ndio demokrasia hiyo bro! huwezi ukaizuia! Mimi nilie muiskamu, Mkristo au, Mmakonde, ima wa kanda ya kusini nikiona CDM Itanitetea nikuhofu wewe njiwa eti CDM haifai wewe ni nani? Utakufa wewe na kijiba cha roho! na sitashangaa kwa hiyo roho uliyo nayo nikisikia umekunywa sumu ya panya.
 
ccm inakufa halafu kuna watu wanategemea mbinu za zamani za vyombo vya dola kama mlango wa kutokea. Piga taswira yaliyotokea huko mtwara jana ndo ujue mambo hayo yameshakwisha ndani ya mioyo ya watanzania.

жзшеъщляхйфюююююююю:d
 
hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !


mmmh! Element za bange hizi!
 
Kulikua na Uchaguzi Kilosa? Chadema imepata kura ngapi? CUF wamepata kura ngapi? Ni uchaguzi wa nini?
 
Chadema jamani basi inatosha, muda wa kampeni mbona bado halafu nyie mnaendelea tu, Tendwa na Sadi Mwema mpo wapi? Tunaomba muwazuie hawa.
 
















Relax Dudes! the gentleman is trying to be realistic i mean come on!
really ????? .. chadema kukamata madaraka ya hii nchi..??! that will
never ever gonna happen!


usijali Cuf ndio watashika dola huku nchi ikiongozwa kwa sharia!
 
Mkuu njiwa,
Naona maneno yako yamekuwa sumu kila mmoja anakujibu kivyake mpaka wamesahu mada yao ya CUF kusambaratika.

endeleeni kupeana faraja lakini CUF ndi hiyo inakufa kibudu na kule Zanzibar wamekuja na harakati za uamsho yaani CCM ni hoi taabani
 
Last edited by a moderator:
hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !


katiba yetu ya nchi inawaruhusu watu kama wewe kuja na maoni yenu hata kama ni ya aina hii
 



why -

a ) chadema ni wakabila

b) chadema ni chama cha kikanda

c) chadema ni wadini "anti muslims"


conclusion - chadema they will never ever kuja kukama madaraka tanzania "FACT" No discussion


NJiwa wewe ni mwanadam, anafikiria, anatambua, anahisi na kutathimin.

Ukabila
Mbeya, mwanza, arusha mtwara nasasa morogoro cdm haikamatiki Niukabila gani unaouzungumza hapa? Isitoshe cdm inawabunge kutoka kanda zote hapa tz thibitisha kauli yako kuipinga yangu.

Ukanda
Unaongelea kanda gan?
kigoma - zito
Mwanza- Highness na Wenje
Mbeya - Joseph
Singida- Lisu
Mara, Dar, Iringa nk. Kwa muundo na upatikanaji wa wabunge hawa thibitisha hoja yako ya ukanda kukanusha yangu kwamba hakuna ukanda bali majungu yasio na tija wala mantiki.

Udin
Udin unaletwa na watu kama wewe njiwa, usikubali kutumika tumia akili yako kama ulivyopewa na mungu.

Prof safari, zito, mnyika, lisu ni mix ya waislam/wakristu sawa?
 
ITV Wanatuhabarisha, TBC hawataki, lakini ngoja kidogo watabaki na nape pekeyake, maana hata JK sura yake inaonekana ka-give up.
 
hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !

Endelea kuota ukiamuka kumbuka kupiga mswaki
 
CDM Inapiga kotekote aje CUF tunachukua aje CCM Ndo usiseme
 
Chadema jamani basi inatosha, muda wa kampeni mbona bado halafu nyie mnaendelea tu, Tendwa na Sadi Mwema mpo wapi? Tunaomba muwazuie hawa.
Mweee! huyu naye, " huwezi kuzuia moshi kwa kipande cha kanga" hujui hilo?
 
Tunajua unaringia hiyo mitutu! Kumbuka hata goliath hakuamini kama david angemuadhiri vile. Wote walimdharau ama wewe! Hawakuamini, wani tuliye naye ni mkuu kuliko bundui na mabomu. Cdm wanayo busara na akuli wao wanayo maguvu na ujinga. Wapi na wapi. Tofauti kama usiku na mchana vile.
 
Tunajua unaringia hiyo mitutu! Kumbuka hata goliath hakuamini kama david angemuadhiri vile. Wote walimdharau ama wewe! Hawakuamini, wani tuliye naye ni mkuu kuliko bundui na mabomu. Cdm wanayo busara na akuli wao wanayo maguvu na ujinga. Wapi na wapi. Tofauti kama usiku na mchana vile.

Pamoja sana kamanda...Umenibariki sana kwa andiko lako hili..
 



why -

a ) chadema ni wakabila

b) chadema ni chama cha kikanda

c) chadema ni wadini "anti muslims"


conclusion - chadema they will never ever kuja kukama madaraka tanzania "FACT" No discussion

kiingereza chenyewe kibovu ka nini sijui, ukisha taja chadema huna haja tena ya kusema 'they' maana hiyo 'they' inawakilisha chadema. Kwa hiyo ulipaswa kuandika 'chadema will never ever... bla bla bla' huu muda unaopoteza kuleta utumbo hapa kwa kufuata mkumbo utumie kufanyia mazoezi hilo.
 
Back
Top Bottom