- Thread starter
- #81
baadhi ya watu wana mawazo HASI kuwa mabadiliko hayawezekeni ,ukweli ni kwamba mabadiliko yana wezekana wasiwe na hofu na wasiwasi wakubali wao wenyewe kubadilika na uzuri wa watanzania wa leo ni wajanja hawadanganyika
Ni kweli mkuu hakuna lisilowezekana chini ya jua....