Kuna nyuzi hapa zilidai Dr. kapewa pesa nzito nafikiri sio chini ya dola au paundi milioni moja. Sasa hiyo nyumba ina thamani gani hadi ashindwe kuilipia? Kuna ukweli gani kwenye habari hizi? Au ndio kumsanifu?
Mkuu nakukubali sana kwa mabandiko yako, vilevile nakumbuka ukiwa mwalimu wangu ulikua unatupa lecture zenye data za kutosha na za uhakika. Ubarikiwe sana mkuu na usonge mbele.
Mkuu nakukubali sana kwa mabandiko yako, vilevile nakumbuka ukiwa mwalimu wangu ulikua unatupa lecture zenye data za kutosha na za uhakika. Ubarikiwe sana mkuu na usonge mbele.
Enyi wafuasi wa Lowasa, acheni kumdhalilisha Dr Slaa.....mchango wake wa kuifikisha CDM hapo ilipo si wa kudhihakiwa, nyie wakuja tu hamkawii kurudi mlikotoka.
Mkuu nakukubali sana kwa mabandiko yako, vilevile nakumbuka ukiwa mwalimu wangu ulikua unatupa lecture zenye data za kutosha na za uhakika. Ubarikiwe sana mkuu na usonge mbele.
Kuna nyuzi hapa zilidai Dr. kapewa pesa nzito nafikiri sio chini ya dola au paundi milioni moja. Sasa hiyo nyumba ina thamani gani hadi ashindwe kuilipia? Kuna ukweli gani kwenye habari hizi? Au ndio kumsanifu?
Dr Slaa ni member humu JFs.. Hulka yake ni kupenda kujibu kila hoja inayomhusu.
Plse Dr jitoleze ujibu hizo tuhuma za magazeti yetu....
Dr tunakusubiri kw shauku kusikia kauli yako...
Dr Slaa ni member humu JFs.. Hulka yake ni kupenda kujibu kila hoja inayomhusu.
Plse Dr jitoleze ujibu hizo tuhuma za magazeti yetu....
Dr tunakusubiri kw shauku kusikia kauli yako...