Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,683
Reaction score
272,542
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?

Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.
 
Wanajf na hasa wanachadema wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA , tafadhalini sana , DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa , wale wenye uchungu na cdm na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu , kwa lipi hasa ? acheni kabisa jambo hilo.

Hakika tuweke akiba ya maneno
 
Si wote wanaomtukana Dr. Slaa ni wanachadema. Wengine ni watu wa kitengo ili waonekane wanaCDM hawana shukrani. Kwa hiyo suala hili linatakiwa liache kufanyiwa kampeni ili muda ukifika Dr. Slaa ataweka wazi kama alivyosema.
 
Si wote wanaomtukana Dr. Slaa ni wanachadema. Wengine ni watu wa kitengo ili waonekane wanaCDM hawana shukrani. Kwa hiyo suala hili linatakiwa liache kufanyiwa kampeni ili muda ukifika Dr. Slaa ataweka wazi kama alivyosema.

Mungi na shardcore ni makamanda wenu halisi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom