zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,832
- 8,623
to me its TBCCMI do not Trust TBCMM
to me its TBCCMI do not Trust TBCMM
kuna kitu mmesahau wadau kuhusu mijadala ya wazi ya CDM na Mabunduki aka Magamba. Nani anakumbuka mjadala kati ya Wassira na Mbowe! Kama mnakumbuka basi. Dr. kasoma alama za nyakati Mabunduki hawachelewi kupandisha Jazba mjadala wanapokutana na kitu cha ukweli hasa joto la mjadala linapopanda.
This colour is so GAY!!!Usimshawishi modes kufuta kwa kuwa katajwa Dr. slaa.
kama aliahidi kuhudhuria, ikatangawzwa kuwa kwenye mjadala atakuwepo halafu ikatokea hajahudhuria, taswira yake kwa jamii itaharibika. Kuna ukweli kaukimbia. Viongozi kama hawa hatuwahitaji tz, kwani kama anakimbia media akiwa katibu wa chama, Je akiwa rais si atazifuta kabisa?
Inawezekana kabisa alikuwa tayari kuongea na wananchi. Tena ingekuwa fursa nzuri ya kuongea mengi na watanzania wengi kwa wakati mmoja lakini bila shaka alikuja kugundua kwamba it won't work because he was invited to a WRONG place.
kama haridhiki na waongozaji si angeweka masharti? na sisi tunaompenda, wenye uwezo wa kufikiri, si tungejua kabaniwa kutoa aliyonayo? si baadae tungeanzisha mjadala kuwalaani TBC?
UKIPENDA KITU Padre, kisikunyime nafasi ya kutafakari. kosa lingine hilo
Hakuna intelijensia wala nini CDM wameishiwa. Ingekuwa Mukama kaingia mitini ungechoka kusoma mipasho ya wanaCDM.Inteligensia ya cdm imefanya kazi nzuri. mukama ni gamba sawa na tbc1. wote ni magamba, then what should you expect???
nakuunga mkono lakini kwenye nyekundu sijakuelewa....
Tusubiri majibu ya Dr Slaa
Jina lako sawa na majibu yako (MPUUZI)Mukama ni punga tu, sio saiz ya Dakta Slaa
Hakuna intelijensia wala nini CDM wameishiwa. Ingekuwa Mukama kaingia mitini ungechoka kusoma mipasho ya wanaCDM.
nakubaliana na wewe.....inawezekana CCM wamezusha tu. kwani ikizingatia taarifa hiyo imetolewa kwenye front page ya UHURU. inawezekana magazeti mengine yametarifu suala hili lakini UHURU ndo imebeba Ukrasa wa mbele
WanaCDM mwambieni Slaa atoe majibu si kumkingia kifua tu.