Dr. Slaa amfuata Lipumba

Dr. Slaa amfuata Lipumba

Kwa Mwaka huu chadema.kama.mgombea angekuwa Dr Slaa tungepigwa vibaya na viti vingi vya.ubunge tungepoteza

Magufuri huku mikoa ya kati na kanda ya ziwa anakubalika sana hivyo kumwekea Slaa ilikuwa sawa na kujiandaa kuja kudanganya UKAWA wameibiwa kura,mtu powerful na anayefahamika sambamba na Magufuri ni Lowassa. Watu wanajidaganya sana eti Slaa angemnyima usingizi Magufuri. Huyu mzee amejidharirisha sana ukizigatia eti ni kiongozi wa kiroho.
 
Hizo hoja ulizojenga zikasaidia hii nchi ikawa kama Newyork mbona hazionekani wewe gamba la ccm? acha kunitisha na ban wewe mwizi wa CCM
Hujui. Tulia. Siyo kila kitu ucoment. Nina uhakika hata nikiandika hapa mantiki hutanielewa...kwa sababu kama utasoma mstari baada ya mstari coments zangu utagundua mimi ni muumini wa nini...hilo nalo umeshindwa kung'amua na badala yake umenicharacterize "mimi ni gamba la CCM"...Well and good!. Enjoy the platform...fanya hivyo kwa kuargue, siyo kitukana au kumkashifu yeyote. Kutukana ni sifa za mjinga/mpumbavu/mtu asiye mstaarabu.
 
Nenda Dk. Slaa hakika utaishi ndani ya moyo wangu mpaka kufa kwangu, hakika wewe ni mwanasiasa pekee hapa Tanzania kuwahi kutokea ***Mungu akubariki Dk****

Ni kweli ni mwanasiasa wa kipekee kuwai kutokea tanzania
1.Alifukuzwa upadri kwa tamaa za ngono
2.Alimtelekeza mke wake wa kwanza na watoto wawili kwa tamaa za ngono
3.Alipora mke wa mtu kwa tamaa za ngono
4.Alimpatia hawara yake kazi makao makuu ya chadema kwa tamaa za ngono
ziada ya upekee wake
1.Alijikopesa pesa ya ruzuku ya chama na bado ajarudisha
2.Ndiye katibu mkuu anayepokea mshahara mkubwa zaidi ya makatibu wakuu wa vyama vya siasa tanzania lakini hana uchungu na chama chake zaidi ya ubinafsi na kujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chama kinachomlipa mshahara.
3.Aliamini yeye ni mgombea wa kudumu chadema
4.Mwisho aliamini chadema kama chama cha siasa kuchukua dola lazima yeye na hawara yake waamie magogoni

akika ni wa kipekee
 
Hata aungane na nani mziki wa ED,mbowe,mbatia,na seif unatosha sana hatusubiri safari ya mabadiliko inaendelea
 
Ni kweli ni mwanasiasa wa kipekee kuwai kutokea tanzania
1.Alifukuzwa upadri kwa tamaa za ngono
2.Alimtelekeza mke wake wa kwanza na watoto wawili kwa tamaa za ngono
3.Alipora mke wa mtu kwa tamaa za ngono
4.Alimpatia hawara yake kazi makao makuu ya chadema kwa tamaa za ngono
ziada ya upekee wake
1.Alijikopesa pesa ya ruzuku ya chama na bado ajarudisha
2.Ndiye katibu mkuu anayepokea mshahara mkubwa zaidi ya makatibu wakuu wa vyama vya siasa tanzania lakini hana uchungu na chama chake zaidi ya ubinafsi na kujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chama kinachomlipa mshahara.
3.Aliamini yeye ni mgombea wa kudumu chadema
4.Mwisho aliamini chadema kama chama cha siasa kuchukua dola lazima yeye na hawara yake waamie magogoni

akika ni wa kipekee

Ahsante kwa mitusi uliyoporomosha. Bakizeni maneno.
 
Ni kweli ni mwanasiasa wa kipekee kuwai kutokea tanzania
1.Alifukuzwa upadri kwa tamaa za ngono
2.Alimtelekeza mke wake wa kwanza na watoto wawili kwa tamaa za ngono
3.Alipora mke wa mtu kwa tamaa za ngono
4.Alimpatia hawara yake kazi makao makuu ya chadema kwa tamaa za ngono
ziada ya upekee wake
1.Alijikopesa pesa ya ruzuku ya chama na bado ajarudisha
2.Ndiye katibu mkuu anayepokea mshahara mkubwa zaidi ya makatibu wakuu wa vyama vya siasa tanzania lakini hana uchungu na chama chake zaidi ya ubinafsi na kujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chama kinachomlipa mshahara.
3.Aliamini yeye ni mgombea wa kudumu chadema
4.Mwisho aliamini chadema kama chama cha siasa kuchukua dola lazima yeye na hawara yake waamie magogoni

akika ni wa kipekee


Ahsante kwa mitusi uliyoporomosha. Bakizeni maneno.

Kipi ni cha uongo au tusi???
 
Dr.Slaa kafa ganzi unadhani anahamu tena na siasa? bora aende tu akapumzike huko ulaya Siasa za Tanzania zina wenyewe. akirudi wenye siasa ataonekana mnafiki sana.
 
Kuna watu uelewa wao ni mdogo sana, na hawa ni wale bendera fuata upepo....Dr Slaa huwezi kumlinganisha na mwanasiasa yeyeto hapa Tanzania...Kwa uadilifu, kusimamia uadilifu na misingi. He was for real change na kujenga institution imara ya CHADEMA, CHADEMA imekuwa maarufu sababu ya kusimamia maadili...baada ya uchaguzi ni nini kitawatofautisha CHADEMA na CCM?
Wale vijana msojielewa aacheni kumkebehi Slaa....sababu hammjui na hamuelewi. Kwa ajili ya kuanza upya baada ya uchaguzi mkuu....poa but hakutakuwa na chadema imara.

Ukitizama sana wengi wanaomkejeri Dr.Slaa ni team lowasa.
 
Masikini slaa walikutumia kama jojo umeishautam wamekutema na kuanza kuku kanyaga
 
Historically wapambanaji hawawi Viongozi au watawala.
Mfano; John Okello (Mapinduzi ya Zanzibar), Dedan Kimathi (Maumau Movement )
Dr Slaa,
Ongeza wengine...
 
Magufuri huku mikoa ya kati na kanda ya ziwa anakubalika sana hivyo kumwekea Slaa ilikuwa sawa na kujiandaa kuja kudanganya UKAWA wameibiwa kura,mtu powerful na anayefahamika sambamba na Magufuri ni Lowassa. Watu wanajidaganya sana eti Slaa angemnyima usingizi Magufuri. Huyu mzee amejidharirisha sana ukizigatia eti ni kiongozi wa kiroho.

Nakuunga mkono Kwa 100%
 
Dr.Slaa ana akili sana upumbavu uliofanywa na chadema hauvumiliki kwakweli.
 
slaa ana msimamo wake tofauti na lipumba ambaye anaonekana kuwa na tamaa


Mwenzake alienda Rwanda Kigali alifikiri hatarudi lakini nyumbani ni nyumbani amerudi leo bila haya eti kenda kufanya utafiti wa siku 4 namna ya kuzitumia shilingi bilioni 3.7 kwa maisha ya Tz.
 
Kama ni hivyo basi na aende zake sisi haturudi nyuma. Huku kanda ya ziwa tumeshaamua tayari ni lowasa tu kwani magufuri hawezi ndani ya mfumo wa kijizi na kulindana na pengine tungesema labda kama kuwa na Rais au waziri mkuu ni faida mbona nyerere ametuacha vibaya au hata alikotoka pinda au sumayi kote choka mbaya bora Kwa lowasa monduli kidogo pameendelea. Urais wa magufuri ni wa kwake, Familia yake na wezi wenziye haupati ng'o mambo yote Kwa lowasa.

Hayo ni mawazo yako mtapigwa kifo cha mende miguu juu, na misafara yenu ya kukodi.
 
Back
Top Bottom