Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Kwa Mwaka huu chadema.kama.mgombea angekuwa Dr Slaa tungepigwa vibaya na viti vingi vya.ubunge tungepoteza
Magufuri huku mikoa ya kati na kanda ya ziwa anakubalika sana hivyo kumwekea Slaa ilikuwa sawa na kujiandaa kuja kudanganya UKAWA wameibiwa kura,mtu powerful na anayefahamika sambamba na Magufuri ni Lowassa. Watu wanajidaganya sana eti Slaa angemnyima usingizi Magufuri. Huyu mzee amejidharirisha sana ukizigatia eti ni kiongozi wa kiroho.