Bukinabuza
Senior Member
- Jun 17, 2008
- 105
- 29
Pole mpiganaji
Dr Slaa ndio katutukana wana chadema toka tumeanza kumbambana Na ccm mpaka Leo no miaka 20 Na yeye tulimwamini akawa mgombea Wa urais kura hazikutosha mwaka huu tukaunganisha nguvu Na wenzetu tukaunda ukawa kwa pamoja tukakubaliana tumtafute mchezaji atakaye tusaidia kupambana cha ajabu anatugeuka hali ambayo inaonyesha kumbe lengo in kuwa upinzani dhaifu kwa hiyo yeye ndio katutukana.