SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,442
Kuna baadhi ya magazeti nikimkuta mtu anayasoma natia mashaka juu ya akili yake...
Nenda Dk. Slaa hakika utaishi ndani ya moyo wangu mpaka kufa kwangu, hakika wewe ni mwanasiasa pekee hapa Tanzania kuwahi kutokea ***Mungu akubariki Dk****
Si rahis kabisa kwa namna yoyote ile huyu ndugu yenu aende ikulu, mtajifariji wee, mtajipa matumaini weee, mtanunu bodaboda ili kuwaaaminisha watanzania kuwa mnakubalika lakini mwisho wa siku mtashangaa macho yenu, hii nchi si ya wahuni, ni nchi inayoendeshwa kwa misingi ya kidemokrasia na ustarabu. Magufuli ana record yake nzuri tu ambayo ameipata chini ya mfumo huu huu tena amaeshine kweli. ebu waza kidogo na 25.10.2015 mpe mamlaka kamili uone kazi itakavyokuwa mchakamchaka, sio wale wanaoimba mchaka mchaka wakati hawawezi huo mchakamchaka
monduli ingekiwa safi wamasai wasingekuwa wanalala nje na kuuza ugoro
Amefika Bei??
Khaa!! Umekosea sana. Kila kitu maishani huanzia kwenye ubinafsi kisha kwenye jamii hadi taifa. Tusidanganyane banaMageuzi ni muhimu kuliko ndoto na malengo binafsi.
Lakini ninachojua hata mumeo yupo ukawa au umeolewa na jamaa mwingine tena?
Hizo ambazo unajenga wewe mbona sizioni? au masaburi yanakuwasha nikutafutie njembaWewe kijana, Kwa nini usijenge hoja kuliko kutukana na kukashifu? Unataka kuniambia wewe ni mfano wa akili za watu wengi wanaojifanya wanataka mabadiliko bila kujuwa ni mabadiliko yapi?
Hizo ambazo unajenga wewe mbona sizioni? au masaburi yanakuwasha nikutafutie njemba
Nenda Dk. Slaa hakika utaishi ndani ya moyo wangu mpaka kufa kwangu, hakika wewe ni mwanasiasa pekee hapa Tanzania kuwahi kutokea ***Mungu akubariki Dk****
Hicho chumba atakachoishi moyoni mwako ni no ngapi? Watu mnachekesha sana,hivi Slaa anaweza kisimama na Magufuri akapata hata asilimia 15%:what: