Kama watu wengi wangepata implication ya maneno ya polepole...hali ingekuwa hatari sana..
Lissu sioni akitoka jela soon...mwalimu wa Taifa, ataivunja vunja hii hoja na Cxm itabaki uchi,sema mwanga wa mshumaa kwenye kiza cha nchi unaonekana tu!
"YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETYMS, BUT NOT EVERYONE ALL THE TIME"