Hahahah ,kamanda hilo neno,ni sawa na CUF huku Zanzibar.Hakujitokeza mtu yoyote kupambana na Maalim Seif.CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
Aisee,hahaha Popocon za kuvutie,tena movie yenyewe ya kihindi.Movie inaanza popcorn pleaaaaseeee
Utampwelepweta hahahahahWewe unaleta mchezo na madahalo wa uchumi, unahitaji elimu.
Sasa Mwenyekiti wa Chadema akasimame na Prof Lipumba na Zitto?waliangalia ndio maana wakaona afadhari Dr Slaa angeweza kujadili, Mbowe mjadala huo ungempwelepweta.
Kwanza huo mdahalo ulikuwa unahusu nini !? Isijekuwa ulitaka wahudhurie tu hata kama kwao ulikuwa hauna tija
Kwanza huo mdahalo ulikuwa unahusu nini !? Isijekuwa ulitaka wahudhurie tu hata kama kwao ulikuwa hauna tija
Wao ni wakubwa.....
Midahalo ya kitoto haiwafai....
Hongera Chadema.......................
Kuna mdahalo ulikuwa unafanyika jana, chadema walipewa taarifa mapema, nashangaa japo sijui walitoa taarifa gani ila wakaukimbia mdahalo. Sidhani kama kukimbia mdahalo kutakijenga chama. Midahalo kama hii ni kuwa misimamo yenu na sera zenu zinawafikia wale ambao hamuwez kuwafikia kirahisi.
Mmeonyesha the really Tanzanian face , mara nyingi mtanzania akikaribia kufanikiwa anakuwa na majivuno anaringa ringa sana. Sasa tuwatofautisheje na CCM?
Tuna uhakika gani kama mkishika nchi hamtakuwa na dharau na kukimbia haja na shida za wananchi?
Too low for chadema!!!!
You can prove mw wrong.
Wao ni wakubwa.....
Midahalo ya kitoto haiwafai....
Hongera Chadema.......................
Wewe siku hizi unakula maharage ya wapi? Nilidhani ulivyoamuwa kurudi shule umekwenda kuongeza akili kumbe umekwenda kuongeza ujinga.
Unakiona ulichokiandika? Unaposema japo hujui walitoa taarifa gani unategemea mtu gani makini anaweza kufanya intellectual arguments na stupid person like you?
Ningekuona una japo akili ndogo tu ya kuvukia barabara kama thread yako ingejikita kutaka kujuwa sababu za Chadema kutoa taarifa za kutoshiriki mdahalo ule.
Wewe mmu ndio jukwaa linalokufaa kwa sasa hapa waache watu wanaotumia akili kwa kila jambo.
Asante sana kwa matusi, ila mimi sio mwandishi wa habari na kwa taarifa yako kama hujui forums, basi nenda kaulize vizuri,forums sio gazeti au sio blogs kwamba ni lazima uikute taarifa ikiwa nZima.
Kama kuna mtu anajua kwa nini chadema hawajashiriki basi anaweza kuileta hio sababu hapa na kam wewe ni mfia chadema basi lazima unaijua hio sababu.
Kumbuka matusi siku zote hayana tija na yanaharibu mjadala.
Mods wapo na kuna wadau kibao wanaojua sababu za Chadema kukimbia mjadala.