Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Asante sana kwa matusi, ila mimi sio mwandishi wa habari na kwa taarifa yako kama hujui forums, basi nenda kaulize vizuri,forums sio gazeti au sio blogs kwamba ni lazima uikute taarifa ikiwa nZima.

Kama kuna mtu anajua kwa nini chadema hawajashiriki basi anaweza kuileta hio sababu hapa na kam wewe ni mfia chadema basi lazima unaijua hio sababu.

Kumbuka matusi siku zote hayana tija na yanaharibu mjadala.

Mods wapo na kuna wadau kibao wanaojua sababu za Chadema kukimbia mjadala.

Wewe ni mpumbavu. Period.
Hapa siyo Instagram au wasapu kwa wapumbavu wenzako kabla ya kuanzisha topic humu anza kusearch humu kwanza unaweza kupata majibu kabla hata hujaanzisha thread.

Ingekuwa humu wote ni wapumbavu kama wewe kila mtu asubuhi ingekuwa akiamka anafunguwa tu thread bila kuanza kusoma weekly thread ambazo zimeshapostiwa humu na tumeshazijadili kwa kina.

Kwanza aliyekwambia mimi ni Chadema nani? Unaona ulivyo mtupu kichwani? Kwahiyo unadhani na mimi ni mpumbavu kama wewe nikupachike uccm?
 
Kwa nn niny msingeomba sababu ya baadh ya wagombea upande wa ccm kutohudhuria kabla ya kutapika ma..vi..midomon mwenu??
Kunya ni kuku tu lkn bata anaharisha?? Poor chagadema
 
Wewe siku hizi unakula maharage ya wapi? Nilidhani ulivyoamuwa kurudi shule umekwenda kuongeza akili kumbe umekwenda kuongeza ujinga.

Unakiona ulichokiandika? Unaposema japo hujui walitoa taarifa gani unategemea mtu gani makini anaweza kufanya intellectual arguments na stupid person like you?

Ningekuona una japo akili ndogo tu ya kuvukia barabara kama thread yako ingejikita kutaka kujuwa sababu za Chadema kutoa taarifa za kutoshiriki mdahalo ule.

Wewe mmu ndio jukwaa linalokufaa kwa sasa hapa waache watu wanaotumia akili kwa kila jambo.

Nashangaa kumkuta uku uyu n mtu MMU
 
Kuna mdahalo ulikuwa unafanyika jana, chadema walipewa taarifa mapema, nashangaa japo sijui walitoa taarifa gani ila wakaukimbia mdahalo. Sidhani kama kukimbia mdahalo kutakijenga chama. Midahalo kama hii ni kuwa misimamo yenu na sera zenu zinawafikia wale ambao hamuwez kuwafikia kirahisi.
Mmeonyesha the really Tanzanian face , mara nyingi mtanzania akikaribia kufanikiwa anakuwa na majivuno anaringa ringa sana. Sasa tuwatofautisheje na CCM?
Tuna uhakika gani kama mkishika nchi hamtakuwa na dharau na kukimbia haja na shida za wananchi?
Too low for chadema!!!!
You can prove mw wrong.

Twende kwenye jukwaa letu la mmu mkuu uku tuwaachie kwenye nazo kichwan
 
waliogopa maswali yanayohusu ruzuku na uchaguzi wa wabunge wa viti maalum
 
Aliyechukua fomu ya kugombea uraisi CDM ndiye aliyekimbia au hii imekaaje mie nimekuaje mambo mengi yananipita jamani
 
Wewe siku hizi unakula maharage ya wapi? Nilidhani ulivyoamuwa kurudi shule umekwenda kuongeza akili kumbe umekwenda kuongeza ujinga.

Unakiona ulichokiandika? Unaposema japo hujui walitoa taarifa gani unategemea mtu gani makini anaweza kufanya intellectual arguments na stupid person like you?

Ningekuona una japo akili ndogo tu ya kuvukia barabara kama thread yako ingejikita kutaka kujuwa sababu za Chadema kutoa taarifa za kutoshiriki mdahalo ule.

Wewe mmu ndio jukwaa linalokufaa kwa sasa hapa waache watu wanaotumia akili kwa kila jambo.

Hivi ukichangia pasipo kutukana na kiingereza chako cha shule za Kata na mikopo chuoni nani asingekuelewa wewe f...a....l?
 
waliogopa maswali yanayohusu ruzuku na uchaguzi wa wabunge wa viti maalum

Hii ndio ilikuwa mada kwenye mdaharo wa jana? kama umieshiwa pedi sema ununuliwe maana inaonekana upo kwenye siku nzito.
 
Asante sana kwa matusi, ila mimi sio mwandishi wa habari na kwa taarifa yako kama hujui forums, basi nenda kaulize vizuri,forums sio gazeti au sio blogs kwamba ni lazima uikute taarifa ikiwa nZima.

Kama kuna mtu anajua kwa nini chadema hawajashiriki basi anaweza kuileta hio sababu hapa na kam wewe ni mfia chadema basi lazima unaijua hio sababu.

Kumbuka matusi siku zote hayana tija na yanaharibu mjadala.

Mods wapo na kuna wadau kibao wanaojua sababu za Chadema kukimbia mjadala.

walikuambia wamekimbia tupe izo sababu ndio tukujibu kama unazijua
 
sasa ungeomba sababu ya CHADEMA kutoshiliki mdahalo ungepewa, ila wewe umefungua uzi kuiponda CHADEMA.... hapo ndipo unapoonekana fyuzi zako zimelegea kidogo, ungekuwa na busala ungezitaja sababu za CHADEMA kutoshiliki na kuanza kuzikosoa. nakushauli uwe unasomasoma kidogo Jf sio unakulupuka kuleta thread, uzi wa sababu ya chadema kutoshiliki ushaletwa na TUMAINI MAKENE hapa.

Kwanza bandiko lako limenichefua. Sehem za R unaweka L wewe sijui ni wa wapi.

Hata ccm walikuwa wanatoa sababu. Sasa mimi swali langu ni kuwa Chadema kukimbia mjadala wanatofauti gani na maccm?
 
Watakimbia mpaka lini?babu hana uwezo wa kukaa na zzk meza moja
 
Wewe ni mpumbavu. Period.
Hapa siyo Instagram au wasapu kwa wapumbavu wenzako kabla ya kuanzisha topic humu anza kusearch humu kwanza unaweza kupata majibu kabla hata hujaanzisha thread.

Ingekuwa humu wote ni wapumbavu kama wewe kila mtu asubuhi ingekuwa akiamka anafunguwa tu thread bila kuanza kusoma weekly thread ambazo zimeshapostiwa humu na tumeshazijadili kwa kina.

Kwanza aliyekwambia mimi ni Chadema nani? Unaona ulivyo mtupu kichwani? Kwahiyo unadhani na mimi ni mpumbavu kama wewe nikupachike uccm?
Haya wewe ni mwerevu asante tena kwa matusi.
 
sasa ungeomba sababu ya CHADEMA kutoshiliki mdahalo ungepewa, ila wewe umefungua uzi kuiponda CHADEMA.... hapo ndipo unapoonekana fyuzi zako zimelegea kidogo, ungekuwa na busala ungezitaja sababu za CHADEMA kutoshiliki na kuanza kuzikosoa. nakushauli uwe unasomasoma kidogo Jf sio unakulupuka kuleta thread, uzi wa sababu ya chadema kutoshiliki ushaletwa na TUMAINI MAKENE hapa.

Kukimbia ni kukimbia tu hata kuwe na sababu 100
 
Wewe mwenzio akiwa shoga bila shaka na wewe lazima uinamishwe tu ili upate utamu anaoupata rafiki yako.

Hii nchi imejaa mazuzu mpaka inakatisha tamaa.

Wewe jamaa hivi unajiona smart sana ee? Swali ni chadema wamekimbia mjadala wana tofauti gani na ccm? Sasa hivi ni jambo la kupanic na kuja kuporomosha matusi.

Nilitegemea ungeleta hoja na kujibu swali au ungekuja kunielewesha?
Huoni kama unazidi kukiharibu chama chako kipenI kifanane na maccm?
 
CHADEMA imetoa sababu ya kutoshiliki huo mdahalo, mtoa mada usingekulupuka... ungejalibu kufuatilia kabla ya kutoa uzi.

Tatizo chama kina bogus wengi sana,issue ya nani akawakilishe chama ndio imewafanya watu kusepa kiaina
 
Wewe carton ulishindwa vipi kunipa link ya hii thread ? Kumbe dr Slaa alishatolea majibu . Mimi sikuona sasa wewe badal ya kunieleweaha unakuja na matusi? Ila haya matusi yote yatakurudia wewe mwenyewe na usirudie tena kutukana wanaume
 
Back
Top Bottom