Dr Slaa ajibu upotoshaji wa Mwandishi Mayage dhidi ya CHADEMA

Nampongeza Dr Slaa kwa kusikika baada ya kujificha kwa muda mrefu. Nimefuatialia majibu yake, but kinachonitatanisha ni kwamba, huyu dr hana sera mpya. Kwanini kila akiongea popote lazima atoe reference za EPA na Ufisadi?

Huu ni muda muafaka kwake kubadilika.
Wananchi tunahitaji kupata mapya kutoka kwake. Tunahitaji kusikia juhudi anazozifanya na chama chake kuleta maisha bora kwa kila mtanzania.
 
Nyie CHADEMA ni watu gani msiotaka kukosolewa???? Mayage katika makala yake aliwakosoa na kuwataka mfanye vizuri zaidi lakini mmeigeuza makala yake kuwa ugomvi kana kwamba amewatukana matusi ya nguoni. Ni nyie mnaolalamika hali ya nchi kwa sasa na kuhoji kama kweli Rais ana washauri. Nyie mnaukataa ushauri wa Mayage, je huyo Padri wenu aliyeasi akiingia Ikulu atamsikiliza nani?

Kweli KENGEMUMAJI sawa na akili za kenge kujikinga na mvua kwa kukimbilia majini.
 
Nampongeza Dr Slaa kwa kusikika baada ya kujificha kwa muda mrefu. Nimefuatialia majibu yake, but kinachonitatanisha ni kwamba, huyu dr hana sera mpya. Kwanini kila akiongea popote lazima atoe reference za EPA na Ufisadi?

Huu ni muda muafaka kwake kubadilika.
Wananchi tunahitaji kupata mapya kutoka kwake. Tunahitaji kusikia juhudi anazozifanya na chama chake kuleta maisha bora kwa kila mtanzania.
Inawezekana ufahamu wako unafanana na avatar yako, Dr. ana-refer issue ambazo hazijasoviwa, hoja haijatafutiwa ufumbuzi, aache za nini? hizo ni hoja za magamba! zisizo na kichwa wala miguu
 
Nampongeza Dr Slaa kwa kusikika baada ya kujificha kwa muda mrefu. Nimefuatialia majibu yake, but kinachonitatanisha ni kwamba, huyu dr hana sera mpya. Kwanini kila akiongea popote lazima atoe reference za EPA na Ufisadi?

Huu ni muda muafaka kwake kubadilika.
Wananchi tunahitaji kupata mapya kutoka kwake. Tunahitaji kusikia juhudi anazozifanya na chama chake kuleta maisha bora kwa kila mtanzania.
Sheikh hapo kwenye red ni wazi Dr.Slaa lazima afanye reference hiyo coz hoja ilihitaji reference hiyo.
Umejivua ufahamu kwa bei gani sheikh wangu?

ANGALIZO: No research, no right to speak.
 
Nampongeza Dr Slaa kwa kusikika baada ya kujificha kwa muda mrefu. Nimefuatialia majibu yake, but kinachonitatanisha ni kwamba, huyu dr hana sera mpya. Kwanini kila akiongea popote lazima atoe reference za EPA na Ufisadi?

Huu ni muda muafaka kwake kubadilika.
Wananchi tunahitaji kupata mapya kutoka kwake. Tunahitaji kusikia juhudi anazozifanya na chama chake kuleta maisha bora kwa kila mtanzania.
Kwahiyo unaona EPA,RICHMOND sio issue za msingi?
 
Sheikh hapo kwenye red ni wazi Dr.Slaa lazima afanye reference hiyo coz hoja ilihitaji reference hiyo.
Umejivua ufahamu kwa bei gani sheikh wangu?

ANGALIZO: No research, no right to speak.
Tunahitaji kusikia kipya kutoka kwake! hayo tumeshayasikia na tumeyachoka!!
 
Inawezekana ufahamu wako unafanana na avatar yako, Dr. ana-refer issue ambazo hazijasoviwa, hoja haijatafutiwa ufumbuzi, aache za nini? hizo ni hoja za magamba! zisizo na kichwa wala miguu
Hebu niambie ni issue gani ambayo haitafutiwa ufumbuzi kati ya hayo aliyoyataja.
 
Nampongeza Dr Slaa kwa kusikika baada ya kujificha kwa muda mrefu. Nimefuatialia majibu yake, but kinachonitatanisha ni kwamba, huyu dr hana sera mpya. Kwanini kila akiongea popote lazima atoe reference za EPA na Ufisadi?

Huu ni muda muafaka kwake kubadilika.
Wananchi tunahitaji kupata mapya kutoka kwake. Tunahitaji kusikia juhudi anazozifanya na chama chake kuleta maisha bora kwa kila mtanzania.

anaendelea kuzungumzia suala la EPA NA UFISADI kwa sababu utatuzi bado kabisa haujafanyika. Kuhusu kuwaletea maendeleo ni pale walipotutoa usingizin watz hilo tu ni maendeleo makubwa sana kuliko masinia ya ubwabwa tunayopewa wakati wa kampeni. Kwa muda wa mwaka mmoja tu kila mmoja anajua haki zake. Umeckia Rejao.
 
huo na wewe upotoshaji!!yawezekana kweli sina akili!!lakin kama ni ya darasani nina uhakika mkubwa hiyo ninayo!!tena wa 100%labda kwa vile wanasema zipo za darasani na za mtaani pengine huo upande wa pili nikawa sina!!!sijapinga yafanywayo!!!ninachokisema kwamba mapendekezo aliyotoa mayage yana tija!!ni ya kufuatwa!!!ukosoaji wake ni chama kujitizama tu!!!ila mimi nikaja na hoja nyingine nikasema kwamba tuna golden chance sasa katika siasa za nchi hii!!ila nikasema mwenyekiti wetu tangu ahachiwe na mh mtei,sasa yatosha ang'atuke!!maana si mtu sahihi wa kwenda naye 2015!!!na nikatoa baadhi ya sababu!!!!ni hayo tu!!!!na kwangu mjadala umefungwa!!!!

Kwanza nianze kwa kukusaidia hili, hakuna kitu kinachoitwa akili za darasani. Darasani watu hawawekewi akili bali wanatanuliwa uwezo wao wa kufikiri. Kumuweka darasani mtu asiye na akili ni sawa na kumwagia maji mbegu iliyokufa ukitaraji iote, badala yake itaoza tu.

Conclusion ya Mayage kwamba kianzishwe chama kingine sio IDEA, ni OPINION. Na kama ungekuwa una akili hata kidogo ungegundua kuwa hakosoi, bali anaponda. Haiwezekani mtu achukue tofali la inch 6 na kuliangushia kopo la bia halafu atuambie alikuwa ana-reshape kopo to its original state. Wewe kuna kitu unashabikia na kinakufanya usione ukweli.

Halafu hili swala la Mwenyekiti sasa yatoshe tupate mtu sahihi nao ni umbea wa kike. 1. Muda wa kikatiba unamzuia kukaa madarakani? 2. Kuna baya analolifanya la kupelekea tumkatae 3. Huyo 'right person' unayemtaka ni nani na ana sifa zipi za ziada?

Halafu nikukumbushe hapa sio sehemu ya kufanyia uongo wa kitoto. Siku tuliyokuomba utupe sababu za kumkataa Mh.Mbowe ulisema unaandaa makala sijui kitu gani unajua mwenyewe. Leo hapa unataka kuleta uongo mpya kujistify wa zamani kuwa ulitoa sababu. Labda umesahau unachanganya na vikao vyenu vya wanamagamba. Haya unayoleta wewe ni majungu.
 
anaendelea kuzungumzia suala la EPA NA UFISADI kwa sababu utatuzi bado kabisa haujafanyika. Kuhusu kuwaletea maendeleo ni pale walipotutoa usingizin watz hilo tu ni maendeleo makubwa sana kuliko masinia ya ubwabwa tunayopewa wakati wa kampeni. Kwa muda wa mwaka mmoja tu kila mmoja anajua haki zake. Umeckia Rejao.
Ok...tayari ameshatutoa usingizini! what is next? mbona kila siku anazidi kutuamsha?
 
Back
Top Bottom