anti-fisadi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 368
- 31
end of ccm, PERIOD
Shida moja MKWERE hana analoweza kuamua yeye mwenyewe, anasaidiwa mpaka kufikiri, sijui huyu bwana uwezo wake shukeni ulikuwaje!!!
eti upuuzi mtupu..mkwere jasho la pua lilimtoka jana....hatakaa asahau aibu aliyoipata jana kukataliwa live mbele ya wageni waalikwa na mabalozi..hahaaaaa shame on you JK..na bado
Kwani Chadema hawakujua John Shibuda alijiunga Chadema kutaka ubunge tuu?
:target:Mimi kwa upande wangu siumizi kichwa na chiligati,kwani nikikumbuka issue ya bashehe na uraia wake,bado huwa siwaamini chiligati na makamba,waliamka kitandani bila kunawa uso na kusema bashehe sio raia wa tz na huishi kwa mazoea,mwisho wa siku kijana wa watu ikaonekana ni raia tena raia mwema
sasa kwa mtindo huuu huwa sifanyiii kazi issue za chiligati na makamba wake
mapinguziiiiiiiii daimaaaaaaaa
One day soon your biggest nightmare will come true!Wametikisa nini? Ni ujinga mtupu...hawaiwezi CCM. This country will never be under Chadema, chama cha wahuni.
sasa hiki kitaibana Cdm au bunge? Mbona kiko powa tu?Hata namimi simwelewi kwamba ana hoja gani? Kanuni za bunge zimekwisha tuambia kwamba kwenye siasa za vyama vingi matukio kama walk-outs na njia zingine zote za kuonyesha hisia bungeni ndiyo mahali pake!!!!!!!!!!!!!!!!!! Unless kuna hidden agenda?????????????????????/
Habanwi Mtu hapo!Je Bunge linaweza kuibana Chadema kwa kifungu hiki cha katiba????
Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine Sheria ya 1984 Na.14 ib.6
20.-(1) Kila mtu anastahili kuwa huru, bila ya kuathiri sheria za nchi, kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani,kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani, na hasa zaidi kuanzisha au kujiunga na vyama au mashirika yaliyoanzishwa kwa madhumuni ya kuhifadhi au kuendeleza imani au maslahi yake au maslahi mengineyo.
(2) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) haitakuwa halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na Katiba au sera yake-
(a) kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya-
(i) imani au kundi lolote la dini;
(ii) kundi lolote la kikabila pahala watu watokeapo, rangi au jinsia;
(iii) eneo fulani tu katika sehemu yoyote ya Jamhuri ya Muungano;
(b) kinapigania kuvunjwa kwa Jamhuri ya Muungano:
(c) kinakubali au kupigania matumizi ya nguvu au mapambano kama njia za kufikia malengo yake ya kisiasa;
(d) kinapigania au kinakusudia kuendesha shughuli zake za kisiasa katika sehemu moja tu ya Jamhuri ya Muungano;
(e) hakiruhusu uongozi wake kuchaguliwa kwa vipindi na kwa njia za kidemokrasia.
(3) Bunge laweza kutunga sheria inayoweka masharti yatakayohakikisha kuwa vyama vya siasa vinazingatia mipaka na vigezo vilivyowekwa na masharti ya ibara ndogo ya (2) kuhusu
uhuru na haki ya watu kushirikiana na kujumuika.
Nawakilisha