mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
nakubaliana na hii habari mana hata taarifa za ki inteligencia zinasema hivyo
Wapinzani watashinda kiurahisi sana.
..kwa maoni yangu Dr.Shein ni bora sana kumzidi pinda..na pia Shein ni kati ya wachache sana huko ccm aliye msafi..Tatizo ni kwamba Dr.Shein yumo ndani ya ukoo huu wa mapanya uliotufikisha hapa kama nchi....Ikumbuke kuwa Dr.Shein amekua kwenye uongozi wa taifa hili kuliko nadhani viongozi wooote waliopo sasa....Huyu Shein amekua makamu wa rais wa Mkapa kwa miaka 10.....pia amekua makamu wa JK muhula wa kwanza...na amekua rais wa zenj miaka hii...lakini ameshindwa kuleta mabadiliko yanayotegemewa na watanzania...na kwa maana hiyo haifai TZ ya leo....
kimeo hiko mkikileta loh,,,, piga s ua mgalatia anaingia ikulu 2015
..OK thanks for correction....sikuwa TZ kipindi hicho...lakini ukweli bado uko pale jamaa amekaa kwenye madaraka mda mrefu sana...ingetosha kufanya yale anayosimamia kwa kipindi chote hicho na kama hakuweza basi hafai kuwa rais wa TZ sasa...Alikuwa makamu wa Mkapa sio miaka kumi alichukua nafasi hiyo baada za kuuwawa Dr. Juma Ali Juma.
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.
Tatizo la tanzania sio mtu ni chama kile kimechoka hata umuweke nani ktk ccm
Another descendant of Mohammed as a President? God forbid... More Churches destruction coming your way Christians
Get ready!
Huu sasa upotoshaji wa hali ya juu! Znz makanisa yanajengwa wakati shein ni rais. Sasahiyo destruction ipo wapi?Another descendant of Mohammed as a President? God forbid... More Churches destruction coming your way Christians
Get ready!
Another descendant of Mohammed as a President? God forbid... More Churches destruction coming your way Christians
Get ready!