Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,303
- 2,077
Picha iko hivi, Shein atakuwa na nafasi tena ya kugombea Muungano 2015! atakuwa the most qualified.. na hivyo ulinzi wa Mkapa na Kikwete utakuwa kamili tena.
Mkjj umesahau kitu kimoja kuwa kasukumiwa Zenj ili wajipange vizuri kwa 2015