Napigiwa simu na mtu wa karibu na RA anasema, "Hakuna tena wa kumzuia Bilal kama walivyomshindwa JK 2005, tayari anasubiri kupitishwa kuwa mgombea wa CCM Zanzibar"
RA mpaka Zenji napo.....mbona tutakwisha! JK hapa lazima atumie mbinu ya Nyerere tu! wakimpa Bilali tu wamekwisha!Napigiwa simu na mtu wa karibu na RA anasema, "Hakuna tena wa kumzuia Bilal kama walivyomshindwa JK 2005, tayari anasubiri kupitishwa kuwa mgombea wa CCM Zanzibar"
RA mpaka Zenji napo.....mbona tutakwisha! JK hapa lazima atumie mbinu ya Nyerere tu! wakimpa Bilali tu wamekwisha!
Mwaka huu Bilali akitoswa tena lazima awafanyie kitumbaya jamaa....Kule kuna wese la kumwaga ndo maana watu wamerusha kete kwa mtu wa Ndio baba.
Sielewi jamaa akipita maeneo kama ya Mchamba wima, Kibanda Maiti atayaboresha au kutabaki magofu tu.
Mwaka huu Bilali akitoswa tena lazima awafanyie kitumbaya jamaa....
Dah huyu akikosa sijui anaweza hamia CUF?
There are currently 43 users browsing this thread. (17 members and 26 guests)
Obuntu,Muzii,Awo,Akili Unazo!,Kiazi Kikuu,Halisi,jethro,Chiluba,kichenchele,KGM,SMU,Kaitaba,Mathias,Nyuki,Who Cares?,Kyachakiche,Chimunguru,
Ndiooo Kabisa atakojimaliazia akichukuwa uamuzi kama huo,
Jamani leo watu hata lunch tunataka kusahau sababu ya kusubiri........