Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
hivi mtu kama yeye akiingia upinzani atakosa nini ambacho anakipata kwa kuwa ccm
kama kweli anauchungu na nchi hii chadema wanatafuta mtu wa kumsimamisha 2010.
zitto mshauri rafiki yako agombee kupitia chadema
you have said it!
wana jf huwa inafika mahali SIWAELEWI!wanakremu tu.GADDEM