Dr. Ryoba bado unajipanga TBC?

Dr. Ryoba bado unajipanga TBC?

Dunia ipi unaisemea?Km hakuwahi kufundisha tafsiri za dunia ktk context mbali mbali ni wazi CV yake na yako zote hazijatukuka.

Unapotuma post uwe unatuma tu moja na inatosha sawa? Halafu bora ungetuma nyingi hivi halafu ndani yake kuna " logic " tungekufikiria lakini kibaya zaidi umetuma posts tatu halafu zote ni " mataputapu " tupu.
 
Unapotuma post uwe unatuma tu moja na inatosha sawa? Halafu bora ungetuma nyingi hivi halafu ndani yake kuna " logic " tungekufikiria lakini kibaya zaidi umetuma posts tatu halafu zote ni " mataputapu " tupu.
Ndio kazi yenu, kujisifu na kuwasifu watu watu mnaotaka.wenyewe mnaita kujipigia debe. Na majamaa yasivyo na maadili, huweza kubali sifa za kipuuzi waziso nazo km marehemu wapewavyo. Sasa utapata wapi logic km wewe ni mpiga debe?
 
Ndio kazi yenu, kujisifu na kuwasifu watu watu mnaotaka.wenyewe mnaita kujipigia debe. Na majamaa yasivyo na maadili, huweza kubali sifa za kipuuzi waziso nazo km marehemu wapewavyo. Sasa utapata wapi logic km wewe ni mpiga debe?

Mpiga Debe ndiyo anayefanya Gari ijae na anaweza vile vile akasababisha Gari isiondoke au hujui? Mkuu hapa utachoka mwenyewe hivyo jipange kisawasawa.
 
Mpiga Debe ndiyo anayefanya Gari ijae na anaweza vile vile akasababisha Gari isiondoke au hujui? Mkuu hapa utachoka mwenyewe hivyo jipange kisawasawa.
Wajamaa km wewe ni km marehemu, mnapokea sifa msizostahili mkidhani zinabaki kuwa sifa. Pole sana marehemu wewe. Kwa bepari hizo sifa za kipuuzi ambzo mtu hana ni kuku enjoy. Uwepo wako hapa ni mzuri sana,inakuwa rahisi kwetu kuelimisha watu kwa mifano hai.
 
Mimi naona mtindo wa kusoma habari moja kwa kupokezana watu wawili sio mzuri. Mmoja asome habari zote za kitaifa na kimataifia halafu afuatie wa habari za uchumi na biasahara kisha michezo. Lakini huu mtindo wa watangazaji au wasomaji kukaa pamoja na kusoma taarifa moja kwa wakati mmoja ni wa hovyo sana wakati mwingine unaharibu usikivu hasa kama mmojawapo yupo slow.
 
Mpiga Debe ndiyo anayefanya Gari ijae na anaweza vile vile akasababisha Gari isiondoke au hujui? Mkuu hapa utachoka mwenyewe hivyo jipange kisawasawa.
Wajamaa km wewe ni km marehemu, mnapokea sifa msizostahili mkidhani zinabaki kuwa sifa. Pole sana marehemu wewe. Kwa bepari hizo sifa za kipuuzi ambzo mtu hana ni kuku enjoy. Uwepo wako hapa ni mzuri sana,inakuwa rahisi kwetu kuelimisha watu kwa mifano hai.
 
Wajamaa km wewe ni km marehemu, mnapokea sifa msizostahili mkidhani zinabaki kuwa sifa. Pole sana marehemu wewe. Kwa bepari hizo sifa za kipuuzi ambzo mtu hana ni kuku enjoy. Uwepo wako hapa ni mzuri sana,inakuwa rahisi kwetu kuelimisha watu kwa mifano hai.

Ka format upya Ubongo wako kwani naona virus wamekithiri!
 
Ka format upya Ubongo wako kwani naona virus wamekithiri!

Vipi inakuuma ninavyokukumbusha sifa za uongo hupewa maiti,haswa ktk nchi zenye bongo zinzohitaji kuformat km za wajamaa. Wale maiti mnawadhalilisha sana. Sasa km Kebwe mmemtumbua, halafu mnakwenda mpa sifa kibao.Nilimwangalia Simbachawene na mwenzie nikacheka sana.Nikawaonea huruma sana ,yaani wamekosa maneno mengine ya umakini ya kuaga bila kutoa siafa za uongo.
 
Vipi inakuuma ninavyokukumbusha sifa za uongo hupewa maiti,haswa ktk nchi zenye bongo zinzohitaji kuformat km za wajamaa. Wale maiti mnawadhalilisha sana. Sasa km Kebwe mmemtumbua, halafu mnakwenda mpa sifa kibao.Nilimwangalia Simbachawene na mwenzie nikacheka sana.Nikawaonea huruma sana ,yaani wamekosa maneno mengine ya umakini ya kuaga bila kutoa siafa za uongo.

Haya tulia sasa kwani SIFA uliyokuwa unaitaka kubishana na Mimi ili CV yako ipande umeshaipata ukiendelea kunitibua nitakuchenjia sawa?
 
Ryoba aliwahi. kufanya kazi tv na radio gani?
Ana ujuzi/uzoefu gani kwenye uendeshaji WA vyombo hivi zaidi ya kuandika makala magazetini?
Wamemtwisha gunia la misumari
Amewahi kufanya kazi itv,na mwanzilishi wa kipindi chankulikoni.na mijadala muhimu.alikua mwandishi wa habari za uchunguzi enzi izo rai kweli.no research,no right to speak
 
Television yetu ya taifa TBC , ni kama mtoto ya tima kwa sasa, hii hali inasikitisha, pamoja na jitihada za kuliokoa shirika kutokana na gharama kubwa za kurusha bunge live , hali imekuwa bora kipindi cha bunge live watu walikuwa wakiitazama kuliko sasa.

Watangazaji wake hawajulikani sana na jamii, waliopaswa kuisapoti nao wameikimbia tunaona wakipiga simu kwenye vyombo vya habari binafsi, tena wakijisifu kuwa ni wasilizaji wakuu wa vipindi vya huko.

Wadau kwa umoja wetu tutoe maoni nini kifanyike ili hata watu wetu wa serikali warudi kuitazama television yetu, nini kifnyike kuzalishwe vipindi vyenye mvuto?

Nini kifanyike ili hata kwenye ziara za viongozi ziratibiwe na watangazaji na waandishi wa tbc badala ya zile zingine. Hasa radio mawingu?

Kwa mtazamo wangu fedha zinateketea zaidi sasa ambapo utazamaji umepungua, ujumbe unaotolewa utatuvutiaje tuupate.
 
Sijui mara ya mwisho ilikuwa lini kuangalia hilo dubwasha.
 
Umeona mbali nakuombea uendelee kuona mbali zaidi...bado kidooogo serikali itafunga mitambo yao mana TBC inaboa program meneja sijui ana kazi gani pale..wanipe kazi Mimi nina chachu ya mabadiliko .
 
Life tu hamna namba.Walifikiri wakimteua daktari wa nadharia atalifufua.
 
Tatizo Wanaajiri watu kwa kufahamiana awatakikuajiri watu halisi walio somea maswala ya media, yani naiangaliaga naona vituko tu, wajitaidi kuajiri watu wenye vigezo na waliosomea si kujuwana. afu wasifanye kazi ilimradi tu waonekane kazi imefanyika, naona huwa nikama wapo tu ilimradi TV hionekane ipo hewani, Vipindi havivuti haswa TBC 2 ni manyimbo tu masaa 24 rangi mbovu, logo ya TBC 2 ni mbovu ya kilakitu ni shakalabagala.
 
TV ya Taifa ni ITV. Hata kwenye mabaa yote nchini ikifika sana 2 usiku Taarifa ya Habari ni kutoka ITV nchi nzima. Ole wako uweke TBC, screen itavunjwa.
 
Ninafahamiana na Dr. Lyoba. Anapenda sana kusoma na hats huu mjadala anaufuatilia with positive eyes. In feedback yake anonymous ya kwanza. So wadau fungukeni yetu mazuri na mapungufu yake. Ila msitukane kwani matusi yanapunguza concentration.
 
Back
Top Bottom