Dr. Ryoba bado unajipanga TBC?

Dr. Ryoba bado unajipanga TBC?

Huyu Mkurugenzi alikula "like" nyingi Hapa sijui Kama hazikumlevya.

Hakuanza tu kupewa " like " na nyie bali alianza kupata " likes " nyingi kutoka kwa Mwenyezi Mungu na Malaika wake hivyo ameshabarikiwa na atazidi " kung'aa ". Nimefundishwa na Wahadhiri wengi tena wa kila Race hapa Duniani ila sijawahi kufundishwa na kumwelewa Mhadhiri na kulipenda Somo kama Mwalimu wangu Dkt. Ayub Rioba na namshukuru sana kwani UELEDI wangu wa leo, KUKUBALIKA kwangu na uwezo wa KUFIKIRI wa KIMANTIKI umechangiwa sana na huyu Dkt. Ayub Rioba bila kumsahau Mhadhiri wangu Kipenzi mwingine aliyenijenga na kunipa MAARIFA ya KUTUKUKA Askofu Dkt. Bernadin Mfumbusa ( sasa ni Askofu nadhani wa Jimbo Kuu la Singida kama sijakosea ) Kiburi changu chote na jeuri zangu zote nimezipata baada ya kupewa MADINI ya kutosha na hawa MANGULI wawili Dkt. Rioba na Dkt. Askofu Mfumbusa na namwomba Mwenyezi Mungu azidi KUWABARIKI, awape maisha marefu, mazuri, afya njema na awazidishie uwezo wao mkubwa wa AKILI na KUFIKIRI na naamini JEMBE lao WALILONIFUNDISHA siwaangushi kwani napita " mule mule " wanapopita wao.
 
Haa ha ha ha, nimecheka sana mkuu. Mwalimu wako anaweza kua mzuri sana kama usemavyo but akakwazwa na mahali anapopatumikia. Kuna watu walikua wazuri sana wakiwa UPINZANI, waliporudi ccm hawasikiki kabisa, is as if hawapo nchini na au wakisema kitu chochote kama mchango unakaa unajiuliza, ni huyu huyu au kivuli chake? Hivi mwalimu wako anamzidi yule managing director wa Azam TV kweli? Yule walimtoa BBC tena ndio alikua mkuu wa idara ya Kiswahili kule; hope unajua kilicho mtokea; "Mkataba wake uliisha na hawakumwongezea" Ningekua ndio huyo mwalimu wako, ningekataa hiyo nafasi.

Kumfananisha Dkt. Ayub Rioba na Tido Mhando ni sawa na kumfananisha Lionel Messi wa FC Barcelona ya Hispania na Malimi Busungu wa Yanga FC ya Tanzania nikimaanisha kuwa Dkt. Rioba ni Messi na Mhando ni Busungu. Nimeshawaambia wasemeni wote ila siyo huyu Dkt Rioba kwani TUTAKESHA leo kwa " bundesliga " na leo nipo katika UBORA wangu MTAKATIFU.
 
Kumfananisha Dkt. Ayub Rioba na Tido Mhando ni sawa na kumfananisha Lionel Messi wa FC Barcelona ya Hispania na Malimi Busungu wa Yanga FC ya Tanzania nikimaanisha kuwa Dkt. Rioba ni Messi na Mhando ni Busungu. Nimeshawaambia wasemeni wote ila siyo huyu Dkt Rioba kwani TUTAKESHA leo kwa " bundesliga " na leo nipo katika UBORA wangu MTAKATIFU.

Unaweza kuwa mzuri wa kudadavua kama Dr. Rioba lakini usiwe mtendaji mzuri kama Tido Mhando!
 
Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?

Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...

Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...

Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!

Kama TBC ilishidwa kubadilika wakati wa Tido chini ya serikali ya Kikwete ambayo ilikuwa haijali sana sijui itabadilikaje chini ya Ryoba chini ya awamu hii ya Tano
 
Tido alipewa ushirikiano mkubwa kila kifaa alichokiomba alipewa hasa ukizingatia kuwa JK alitaka TBC iwe nzuri lakini baadae wakaja kuvuruga kila kitu, Ryoba kaikuta TBC chakavu isiyokuwa na kitu, vifaa vyote vimechoka, hawana pesa Hata pesa za wadhamini zinapitia Wizara ya habari kwanza hakuna Uhuru wa kufanya kazi mda wote Nape anamchugulia.
Tatizo la JK aliipenda CCM kuliko tz...Sasa ikiwa RIOBA anakutana na Ugumu huo kunasababu gani yakuendelea kuwepo kwenye hiyo Nafasi!! Manake watu hatunashaka nauwezo wake kiTaaluma sasa kama atakuwa anaongoza Taasisi isiyotoa matokeo mazuri atawathibitishiaje watu Kwamba anauzo!
 
Ryoba aliwahi. kufanya kazi tv na radio gani?
Ana ujuzi/uzoefu gani kwenye uendeshaji WA vyombo hivi zaidi ya kuandika makala magazetini?
Wamemtwisha gunia la misumari
Watanganyika kila kitu Tunaweza...wee hujawahi kuajili Fundi ujenzi lkn ukimuuliza na kazi yakufunga mabomba pia anakwambia anaweza!
 
CV ya Dkt Rioba haijulikani tu hapa Tanzania bali Dunia nzima inamtambua halafu ni jambo la kusikitisha sana Mtu kama Wewe hujui CV ya KUTUKUKA katika Masuala ya Uandishi wa Habari na Utangazaji ya Dkt Rioba na hapa umeonyesha ni jinsi gani ulivyo " mtupu " katika Mbichwa wako huo. Dkt Rioba anafanya amefanya na anafanya zaidi ya hayo uliyoyasema hapo. Kwa ufafanuzi tu zaidi Watafute MANGULI wa Tasnia hii wakupe Wasifu wa KUTUKUKA wa Dkt Ayub Rioba. Huyu Jamaa ( Dkt Rioba ) ndiyo Lionel Messi wa Media hapa Tanzania. Wasemeni wote ila kwa huyu TUTAKESHA kwa " Ligi " humu halafu hata leo nimekaa katika mood ya " ligi ligi " ( kubishana ) tu.
Mkuu umeelewa swali la jamaa yako kivava?,,,,ameuliza DR RIOBA anauzoefu gani katika uendeshaji wa Vyombo vya HABARI? sababu kuwa na ELIMU ni Jambo 1 nakutendea haki Elimu husika nijambo jingine hasa Linapokuja swala kama hili la TBC Kumbuka TIDO alipita pale na Wananchi wengi walikubali kazi yake japo waliompa hiyo kz hawakupendezwa nae...sasa Kila MTU atakaepewa Ukurugenzi pale Kipimo ni TIDO na ukweli mpaka sasa hajatokea wakufuta Nyayo za TIDO pale TBC so Ukiacha elimu Rioba aliwahi kuongoza chombo gani cha Habari
 
CV ya Dkt Rioba haijulikani tu hapa Tanzania bali Dunia nzima inamtambua halafu ni jambo la kusikitisha sana Mtu kama Wewe hujui CV ya KUTUKUKA katika Masuala ya Uandishi wa Habari na Utangazaji ya Dkt Rioba na hapa umeonyesha ni jinsi gani ulivyo " mtupu " katika Mbichwa wako huo. Dkt Rioba anafanya amefanya na anafanya zaidi ya hayo uliyoyasema hapo. Kwa ufafanuzi tu zaidi Watafute MANGULI wa Tasnia hii wakupe Wasifu wa KUTUKUKA wa Dkt Ayub Rioba. Huyu Jamaa ( Dkt Rioba ) ndiyo Lionel Messi wa Media hapa Tanzania. Wasemeni wote ila kwa huyu TUTAKESHA kwa " Ligi " humu halafu hata leo nimekaa katika mood ya " ligi ligi " ( kubishana ) tu.
Upuuzi mtupu huu, km kawaida yenu kupigiana upatu. Achukue tuu ahsante yake kwa taaluma za upotoshaji. Ila hilo Messi labda ktk viunga vyenu vya porojo. Alipata coverage kubwa tuu ila hakuna kitu. Sasa yupo jikoni afanye kazi tuione bila kuambia na watu km wewe au yeye.

Wasemaji wengi wa kibongo haswa wasomi wa vyuo ni maboya kweli, porojo zao nyingi huonekana kukubalika na watu wengi ambao ni too confused. Wabongo ni wazuri sana kurukia TERMILOGIES AMBAZO ZIPO KTK CHAT, na hawana philosophy zao au hata za wengine ambazo wanaziamini, wamezifanyia tafiti na zina work kwa mazingira yetu. Wajamaa kwa propaganda hawajambo, kila kitu kwao as long as kinatosha kufanya maonyesho kwao ni more than enough. Concept za kuokoteza haziwezo fanya project inayohitaji patients ,honest observation and timely actions.
.
 
Ryoba aliwahi. kufanya kazi tv na radio gani?
Ana ujuzi/uzoefu gani kwenye uendeshaji WA vyombo hivi zaidi ya kuandika makala magazetini?
Wamemtwisha gunia la misumari
Amepata kuwa mtangazaji wa ITV miaka ya nyuma!
 
CV ya Dkt Rioba haijulikani tu hapa Tanzania bali Dunia nzima inamtambua halafu ni jambo la kusikitisha sana Mtu kama Wewe hujui CV ya KUTUKUKA katika Masuala ya Uandishi wa Habari na Utangazaji ya Dkt Rioba na hapa umeonyesha ni jinsi gani ulivyo " mtupu " katika Mbichwa wako huo. Dkt Rioba anafanya amefanya na anafanya zaidi ya hayo uliyoyasema hapo. Kwa ufafanuzi tu zaidi Watafute MANGULI wa Tasnia hii wakupe Wasifu wa KUTUKUKA wa Dkt Ayub Rioba. Huyu Jamaa ( Dkt Rioba ) ndiyo Lionel Messi wa Media hapa Tanzania. Wasemeni wote ila kwa huyu TUTAKESHA kwa " Ligi " humu halafu hata leo nimekaa katika mood ya " ligi ligi " ( kubishana ) tu.
Wewe kwa ligi sina wasiwasi na uwezo wako bt naona kama hujamjibu swali lake!
 
Pia hayupo free kufanya kazi Vizuri mda woote nape anamchungulia
Alitegemea awe free ili akomboe nini sasa?Hizi akili sijui mnaokota wapi?Shida hampeni sana fikiria zaidi ya obvious .Kwani huko alipokuwa hakuwa akila?sasa ya nini kuogopa kazi anayoweza fukuzwa hata akijilamba.
 
....CV ya Dkt Rioba haijulikani tu hapa Tanzania bali Dunia nzima inamtambua halafu ni jambo la kusikitisha sana Mtu kama Wewe hujui CV ya KUTUKUKA...
Dunia ipi unaisemea?Km hakuwahi kufundisha tafsiri za dunia ktk context mbali mbali ni wazi CV yake na yako zote hazijatukuka.
 
....CV ya Dkt Rioba haijulikani tu hapa Tanzania bali Dunia nzima inamtambua halafu ni jambo la kusikitisha sana Mtu kama Wewe hujui CV ya KUTUKUKA...
Dunia ipi unaisemea?Km hakuwahi kufundisha tafsiri za dunia ktk context mbali mbali ni wazi CV yake na yako zote hazijatukuka.
 
....CV ya Dkt Rioba haijulikani tu hapa Tanzania bali Dunia nzima inamtambua halafu ni jambo la kusikitisha sana Mtu kama Wewe hujui CV ya KUTUKUKA...
Dunia ipi unaisemea?Km hakuwahi kufundisha tafsiri za dunia ktk context mbali mbali ni wazi CV yake na yako zote hazijatukuka.
 
Upuuzi mtupu huu, km kawaida yenu kupigiana upatu. Achukue tuu ahsante yake kwa taaluma za upotoshaji. Ila hilo Messi labda ktk viunga vyenu vya porojo. Alipata coverage kubwa tuu ila hakuna kitu. Sasa yupo jikoni afanye kazi tuione bila kuambia na watu km wewe au yeye.

Wasemaji wengi wa kibongo haswa wasomi wa vyuo ni maboya kweli, porojo zao nyingi huonekana kukubalika na watu wengi ambao ni too confused. Wabongo ni wazuri sana kurukia TERMILOGIES AMBAZO ZIPO KTK CHAT, na hawana philosophy zao au hata za wengine ambazo wanaziamini, wamezifanyia tafiti na zina work kwa mazingira yetu. Wajamaa kwa propaganda hawajambo, kila kitu kwao as long as kinatosha kufanya maonyesho kwao ni more than enough. Concept za kuokoteza haziwezo fanya project inayohitaji patients ,honest observation and timely actions.
.

Maelezo yako haya mengi na ya Kipuuzi tupu yameshindwa kabisa " kuclick " katika Ubongo wangu wenye uelewa mkubwa niliobarikiwa na Mwenyezi Mungu. Jaribu kujipanga upya halafu safari hii ukirudi tena please observe brevity in your writings kwani unatuchosha na TITO na GIGO zako.
 
Dunia ipi unaisemea?Km hakuwahi kufundisha tafsiri za dunia ktk context mbali mbali ni wazi CV yake na yako zote hazijatukuka.

Unapoandika tafadhali jaribu basi kuacha space. Umesoma wapi Mkuu? Mbona unatuaibisha Intellectuals tuliotukuka na tuliopo humu? Huwa nawapenda kweli Watu kama Wewe!
 
Back
Top Bottom