Haha.Baada ya kuzalisha wapiga viroba kadhaa ktk vyuo vyetu, na vipindi kibao vya uchambuzi ktk TV na huko vyuoni. Sasa kapata zawadi yake , TBC kwa muonekano wake ni wazi imeshafulia kabisa.Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?
Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...
Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...
Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!
Watakuambia ni mikakati.Hiyo ndio akili ya wajamaa. Kila kitu wakikishika kinanajisika.Television ya taifa haina rangi za taifa.Colour mbaya ka nini?Watangazaji hawana mvuto?Bora niangalie ITV Ina rangi za taifa na watangazaji wanaojua kazi yao.
Pia hayupo free kufanya kazi Vizuri mda woote nape anamchunguliaRyoba mtu wa theory, hawezi kuja na ubunifu kwenye vitu alivyokuwa anavisoma kwenye vitabu tu. Huwezi kumfananishi na Tido mtu anayecheza na utangazaji practically. Pia hata akiamua kuumiza kichwa kuiboresha TBC hela atapata wapi, kipaumbele kikubwa awamu hii ni barabara.
Ryoba aliwahi. kufanya kazi tv na radio gani?Kwa uelewa Mkubwa na wa Kutukuka wa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Rioba hana haja ya kukurupuka na kwa nimjuavyo sasa hivi anaandaa vitu ambavyo nina uhakika akiviwasilisha kwa Wafanyakazi wa TBC Redio na Tv Wengi wenu mtaacha rasmi kutizama Tv zingine na kusikiliza Redio zingine na muda wote mtakuwa glued TBC. Sina shaka na Mwalimu wangu na kitendo cha Rais Magufuli kumteua Rioba ni sawa sawa na Rais wa FIFA kumkabidhi TUZO ya World Best Footballer of the year Lionel Messi ( kifupi kipele kimempata mkunaji ). Dkt. Rioba achana na hawa Wanafiki tumia UELEDI wako.
TBC ni km imefulia vibaya sijui hata km ina mitambo tena, ving`amuzi vinaficha siri sana. kaenda ishikia CCM aibu, km malipo ya kazi aliyowatumikia.Ryoba aliwahi. kufanya kazi tv na radio gani?
Ana ujuzi/uzoefu gani kwenye uendeshaji WA vyombo hivi zaidi ya kuandika makala magazetini?
Wamemtwisha gunia la misumari
Nakumuonyesha Mwenyekiti wa ccm akifungua TAWI la chama...nawasikitia sana watu wanaoamini mabadiliko chini ya watu waliosababisha Anguko....wanaosema RIOBA apewe muda wanatudharau sana!,,,,,Jamaa yuko kwenye Fani....siku nyingi...hakuna asichojua kuhusu mambo ya MEDIA so ukweli nikwamba hakuna cha muda wala nini ameshashindwa kwani TIDO ilimchukua muda gani kuibadilisha TBC
Academicians kwenye corporate Management uwa ni 1 out of 100 anaweza perform uwa ni wazuri sana kwy research &consultancies.
Ni kweli mkuu hii kasumba ipo na imekuwa Sugu zaidi, lakini Ryoba anapaswa atambue kuwa TBC ilipaswa iwe mfano wa kuigwa na TV zingine afanye awezavyo hata kama anataka maisha mazuri lakini kwanza aonyeshe ubunifu mkubwa kama alivyokuwa kaanza Tido aendeleze pale pawe bora zaidi na zaidi .
Hayo atayafanje bila bisa?Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?
Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...
Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...
Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!
Kwa uelewa Mkubwa na wa Kutukuka wa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Rioba hana haja ya kukurupuka na kwa nimjuavyo sasa hivi anaandaa vitu ambavyo nina uhakika akiviwasilisha kwa Wafanyakazi wa TBC Redio na Tv Wengi wenu mtaacha rasmi kutizama Tv zingine na kusikiliza Redio zingine na muda wote mtakuwa glued TBC. Sina shaka na Mwalimu wangu na kitendo cha Rais Magufuli kumteua Rioba ni sawa sawa na Rais wa FIFA kumkabidhi TUZO ya World Best Footballer of the year Lionel Messi ( kifupi kipele kimempata mkunaji ). Dkt. Rioba achana na hawa Wanafiki tumia UELEDI wako.
Ryoba ameanza kunifanya nihisi vibaya.kuhusu kumwamini mtu kwa kauli zake.huku kwenye kutenda zerooo.au kwenye serikali za utawala Wa ccm .kuna kitu wananyeshwa ili washindwe kutenda vema !!!????Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?
Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...
Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...
Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!
Afadhali umemkumbusha Ryoba awachane na wanafiki atumie ueledi wake .Kwa uelewa Mkubwa na wa Kutukuka wa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Rioba hana haja ya kukurupuka na kwa nimjuavyo sasa hivi anaandaa vitu ambavyo nina uhakika akiviwasilisha kwa Wafanyakazi wa TBC Redio na Tv Wengi wenu mtaacha rasmi kutizama Tv zingine na kusikiliza Redio zingine na muda wote mtakuwa glued TBC. Sina shaka na Mwalimu wangu na kitendo cha Rais Magufuli kumteua Rioba ni sawa sawa na Rais wa FIFA kumkabidhi TUZO ya World Best Footballer of the year Lionel Messi ( kifupi kipele kimempata mkunaji ). Dkt. Rioba achana na hawa Wanafiki tumia UELEDI wako.
Ryoba aliwahi. kufanya kazi tv na radio gani?
Ana ujuzi/uzoefu gani kwenye uendeshaji WA vyombo hivi zaidi ya kuandika makala magazetini?
Wamemtwisha gunia la misumari
Haa ha ha ha, nimecheka sana mkuu. Mwalimu wako anaweza kua mzuri sana kama usemavyo but akakwazwa na mahali anapopatumikia. Kuna watu walikua wazuri sana wakiwa UPINZANI, waliporudi ccm hawasikiki kabisa, is as if hawapo nchini na au wakisema kitu chochote kama mchango unakaa unajiuliza, ni huyu huyu au kivuli chake? Hivi mwalimu wako anamzidi yule managing director wa Azam TV kweli? Yule walimtoa BBC tena ndio alikua mkuu wa idara ya Kiswahili kule; hope unajua kilicho mtokea; "Mkataba wake uliisha na hawakumwongezea" Ningekua ndio huyo mwalimu wako, ningekataa hiyo nafasi.Kwa uelewa Mkubwa na wa Kutukuka wa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Rioba hana haja ya kukurupuka na kwa nimjuavyo sasa hivi anaandaa vitu ambavyo nina uhakika akiviwasilisha kwa Wafanyakazi wa TBC Redio na Tv Wengi wenu mtaacha rasmi kutizama Tv zingine na kusikiliza Redio zingine na muda wote mtakuwa glued TBC. Sina shaka na Mwalimu wangu na kitendo cha Rais Magufuli kumteua Rioba ni sawa sawa na Rais wa FIFA kumkabidhi TUZO ya World Best Footballer of the year Lionel Messi ( kifupi kipele kimempata mkunaji ). Dkt. Rioba achana na hawa Wanafiki tumia UELEDI wako.