TANZIA Dr Ruthbetha Kateule (PhD) afariki dunia

TANZIA Dr Ruthbetha Kateule (PhD) afariki dunia

Watu wengi waliozaliwa mwaka 1987 wamemaliza form VI kati ya mwaka 2008 na 2009.
Ina maana hawa wakati wanaenda chuo kikuu mwaka 2009 wakamkuta mwenzao waliyezaliwa mwaka mmoja akiwa mkufunzi.
Inategemea alianza standard 1 lini. Na hii inategemea na familia kama iko pia unaenda ukiwa mdunchu. Kuna vijana wako chuo katika umri wanapaswa kuwa secondary advanced
 
Kinda katika sayansi na mifumo ya kompyuta nchini Dr Ruthbetha Kateule (PhD) hatunae. Kwa umri huo wa Miaka 38 (1987-2025) na PhD kaipata majuzi. Naamini mirathi haitaleta shida labda vyeti kibao. #KataaPhD#View attachment 3300762
Namjua vizuri huyu dada, wakati nipo COict huyu dada ni jembe, poleni sana madokta wengine mliokuwa naye
 
TISCO lilikuwa shirika la umma, TANZANIA INDUSTRIAL STUDIES AND CONSULTING ORGANISATION.
Lilikuwa shirika la Consulting miradi ya maendeleo chini ya wizara ya viwanda, lilikuwepo miaka ya mwisho ya 70 na hatimaye kufa miaka ya 90.
Walikuwa wanakula hela za bure za misaada ya wazungu, walivyochokwa wakaja kivingine na TIRDO pale bondeni ambako walikuwa na eneo kubwa, sasa wanapiga dili ya kuuzauza viwanja maana eneo limekuwa hotcake....
 
Hii tu basi? Kwa kuwa huu ni msiba tuache. Tuandae mjadala siku nyingine.

Wasomj wetu wa PhD study zao ni zile zile.

Prevalence of....
Factors associated....
Knowledge, attitude.....
Determinants of......


Hivi vyote vimeandikwa kwenyw Text books.

Bagamoyo tutaanzisha uzi mwingine tujadiliane hili jambo.
Theories kibao. Blah blah
Aisee yaani Elimu yetu tubadilike fikra aisee
PhD ni degree ya tafiti. Zaidi unaweza sema ni degree ya wito.

Wanafanya tafiti zinazochangia kwenye taaluma zao. Wanatafuta taarifa mpya.

Michango yao huwa haithaminiwi, lakini wanafanya kazi kubwa sana.
 
Back
Top Bottom