TANZIA Dr Ruthbetha Kateule (PhD) afariki dunia

TANZIA Dr Ruthbetha Kateule (PhD) afariki dunia

Hajafika hata 40yrs na ni PhD holder, safi sana na hongera kwake kwa kutumia kichwa chake kwenye taaluma. Ninawafahamu wengi ambao wapo 36-40yrs na tayari wana PhD.

Pole kwa familia kupoteza mtu mahiri.
 
Back
Top Bottom