Siwezi kusemaa ni ukwasi au wizi ...lakini anao utajiri mkubwa Sana ....kila Ghorofa Moja la NSSF linalojegwa....kuna kampuni Moja ya kandarasi ikiwemo Za electrical ambayo kupitia hio ...lazima ghorofa lake nalo lipande....ie kariakoo ,pale makumbusho,mlimani etc
Chuo kikuu cha Dodoma ...kimemeza pesa nyingi tu Za wanachama....zilizoishia mifukoni kwa maafisa wa NSSF na hata wa chuo .....,maeneo ya Mbezi kuna mmoja wa maprofesa amejengewa chuo chake kikubwa Tu kupitia ujenzi wa udom...
Siku zote wanasema the only safe way kwa funds managers popote pale kufaidika tena kisomi ....ni through White Elephant Projects ...Sio NSSF tu......karibuni Masharika yote ya hifadhi ya Jamii nchini wakuu wake wanaiba kupitia white elephants projects.........hizo ni pesa Za wanachama ,iPo Siku watazihitajii..na wanataka miradi yenye faida ili nao wapate dividends ..pesa zinatumika Zao.....
Kuna Hao LAPF ...like Jengo Lao pale makumbusho.....Mara ya kwanza walikodishia hotelie ..Yule Mzungu tapeli ( Namjuwa ) alikimbja na pesa Za pango..kwa Kifupi aliendesha hoteli bila kulipa kitu...na kutoroka...,ikumbukwe kuwa ile hoteli kila kitu hadi umma ..walinunua LAPF yeye alikuwa na begi lake na akaondoka na bag lake...
Baada ya hapo hoteli akipewa Mzee Peacork ...aliikutaa kwenye Hali Mbaya ..ikabidi ifungwe ...kwa miaka mitatu Sasa au Zaidi.. ...
Juzi tu naona LAPF wameweka Bango la kukarabati Jengo ..( off course miaka 10 imefikia ) linahitaji kukarabati mkubwa...........ni miaka kumi ambapo pesa Za wanachama zinaenda kukarabati Jengo zuri la biashara ambapo lingetakiwa liwe limerudisha angalau asilimia...80 ya gharama ....lakini Hali Halisi Jengo lile halijaingiza CHOCHOTE kwa wanachama ...Sana Sana linakuwa mzigo kwa pesa Za wanachama kuchukuliwa kulitunza ...Huku pesa Za pango zikiliwa..
Hizi white elephants Za Masharika haya SSRF lazima wazidhibiti......