Dr Ramadhani Kitwana Dau aula tena ISSA

Dr Ramadhani Kitwana Dau aula tena ISSA

Sifungwi na itikadi yoyote ya dini wala siasa, NSSF ina udhaifu mkubwa katika kutoa mafao kwa wanachama wake kuliko mfuko mwingine wowote wa hifadhi ya jamii, huu ni ukweli kabisa NSSF ina element ya dhuluma kwenye fomular yake ya mafao ya kustaafu, haina record madhubuti ya michango wanayoipokea toka kwa wanachama, wanausumbufu mkubwa katika kutoa mafao kwa wanachama wake kiasi kwamba inaweza kuchukua miezi sita au zaidi.
Tusibweteke na uwekezaji usio na manufaa kwa wanachama ambao ndio wenye pesa.
..Thibitisha hizi shutuma zako.
 
Duh! Wameamua kuhariri post(s) zetu?!!

JF heshma yenu imeshuka!
 
Nampongea Dr. Ramadhani kwa uteuzi alioupata, najua si kazi ndogo kufikia hatua hiyo. Mimi kama mwanachama wa NSSF napenda kuwasilisha kwake baadhi ya kero tunazozipata wanachama japo kwa walio wengi nje ya mfuko hawayajui.
1. Kukosekana kwa taarifa sahihi za michango ya wanachama kwenye statement zao hadi kufikia hali ya kutia shaka kwa taasisi kubwa kama NSSF kutokuwa na database ya uhakika inayotunza taarifa sahihi za michango ya wanachama wake.
2. Formular ya mafao ya kustaafu yenye dhuluma kwa wanachama kiasi kwamba mwanachama anayestaafu akiwa na basic salary ya milion moja akiwa na miaka zaidi ya 30 kazini anapata milioni 8 na pension ya laki 3 kwa mwezi. Hii ni tofauti kabasa na mifuko mingine nchini ambayo inatoa zaidi ya milioni 60 kwa mtumishi mwenye sifa sawa.

3. Usumbufu wanaoupata wanachama kwenye kupata mafao yao ni mkubwa mno, hali ambayo mgeweza kuihimili iwapo mgekuwa na data base nzuri.

Naamini utapata ujumbe huu kupitia jukwaa hili ili uboreshe shirika lako, zinginevyo miaka kumi ijayo shirika hili litakosa wanachama wapya wanaovutiwa kujiunga nalo kama msiporekebisha niliyoyataja hapo juu.
 
..Thibitisha hizi shutuma zako.

Mkuu fatilia wanachama wanaodai mafao yao, watakueleza usumbufu wanaoupatata, haieleweki tatizo ni kukosekana kwa reliable data za michango au kuna agenda ya siri. Hakika shirika inabidi libadilike kwenye maeneo niliyoyataja ili kumantain sustainability, vinginevyo

Bila support ya serikari kwenye kurecruit wanachama wapya, yetu macho
 
Mkuu fatilia wanachama wanaodai mafao yao, watakueleza usumbufu wanaoupatata, haieleweki tatizo ni kukosekana kwa reliable data za michango au kuna agenda ya siri. Hakika shirika inabidi libadilike kwenye maeneo niliyoyataja ili kumantain sustainability, vinginevyo

Bila support ya serikari kwenye kurecruit wanachama wapya, yetu macho
Siwezi kukataa haya uyasemayo kwa kuwa mm sio mwanachama wa nssf lakini kwa uzoefu mdogo nilio nao matatizo pia yanaanzia kwa waajiri na hata wanachama kutojua sheria na tartibu za madai na malipo..Nazaidi ni ufanisi wetu watz makazini bado hatujafikia kiwango kizuri cha utendaji wa kazi makazini..
 
IMG_5785.JPG


[h=3]CRDB YAKOPESHA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA KANISA[/h]

Turudi kwa huyu bwana Dau, Jamaa kazi anaijua na anajua nafasi yake kwenye jamii. haijapata kutokea kuwakopesha waislam kujenga msikiti.


CONSOLIDATED HOLDING CORPORATION


Mr. Dome Malosha Ag, Director General Mkristo
Mr. Methusela Mbajo Director of Finance Mkristo
Mrs. Elizabeth Mamba Corporation Secretary Mkristo
Mr. Albert Seming'ondo Director of Litigation Mkristo
Mrs Clara Kanza Ag, Director of Loan Mkristo
Mr. Nyaisa Makori Ag, Director of Divestiture Mkristo


::CHC Homepage::
 
upo sahhi sana pascal..waje na data wasiwe wapiga kelele kiushabiki
 
Maalim Tayeb hio inaitwa MFUMO KRISTO AT WORK!
wao wameshika mpini! Lkn sisi tunakula nao hivohivo! Lbd wafungie kila mujahidina!
Ubaki uzi wa kugalatia tu! Waimbe na kucheza wenyewe!!

Maalim Kahtan,

Hawa jamaa wakipewa data wanazifuta posts zetu au wanakupiga ban. Mpaka sasa hawajaleta data alizozitaja mrnssf
 
Kuna mantiki gani ya kurejesha uzi huu hapa jamvini ikiwa mmeamua kufuta data zote za maana.na si mliamua kuufuta kwanini urudishwe?au mnataka kuwa mnahariri kila kitu?kama mtindo wenyewe ni huu ni bora nikahamia jukwaa la Mahusiano ya mapenzi au jokes kuepusha Ban za uonevu.
 
Huu ni ujinga sasa ni kwanini post zimefutwa ambazo tulikuwa tumeweka data za kutosha kudhihirisha Dau sio mdini kama kina Mungi walivyokuwa wanampaka? Mods heshima ya jukwaani mnaipoteza sasa.
 
Last edited by a moderator:
kuna baadhi ya nafasi na taasisi hata uwekilaza kiasi gani utaonekana una perfom tu! ni sawa na Messi alivyo Barcelona......

fuatilia historia ya nssf dau aliikuta vipi halafu ndiyo uje hapa uropoke ujinga wako
 
JAMII FORUM wababaishaji sana..na mmedhihirisha uchanga wenu wa fikra ambapo mnajiita fikra pevu..nasikitishwa kuona mlivyo wadini katika dunia ambayo inahitaji rasili mali watu ktk ukuaji wa ustawi wa jamii billa kuangalia itikadi ya dini ya mtu..zimetolewa data nyingi na ufafanuzi cha kusikitisha mnafuta au mna hariri..lengo lenu ni kutengeneza propaganda kua dau mdini?? mmechelewa!! nafurahishwa sana na utendeji kazi wake kazi na alivyoweza ku balance dini zote ktk shirika lakini mmezoea kua wakristo tu ktk kazi..tanzania haitoendelea kamwe kwa mfumo huo..
 
JAMII FORUM wababaishaji sana..na mmedhihirisha uchanga wenu wa fikra ambapo mnajiita fikra pevu..nasikitishwa kuona mlivyo wadini katika dunia ambayo inahitaji rasili mali watu ktk ukuaji wa ustawi wa jamii billa kuangalia itikadi ya dini ya mtu..zimetolewa data nyingi na ufafanuzi cha kusikitisha mnafuta au mna hariri..lengo lenu ni kutengeneza propaganda kua dau mdini?? mmechelewa!! nafurahishwa sana na utendeji kazi wake kazi na alivyoweza ku balance dini zote ktk shirika lakini mmezoea kua wakristo tu ktk kazi..tanzania haitoendelea kamwe kwa mfumo huo..
...Tokea lini mtu mwenye akili na fikra pevu akanunu kisanamu cha mzungu akakiweka varanda asubuhi akiamka anakipigia magoti anakiomba anakiabudu ana kiamini. Halafu mtu huyo akaanzisha jambo likawa lina heshima au kuheshimu watu au kuheshimu mawazo yao..angekuwa na busara bora angeweka picha ya mama yake akaipindia magoti mama ni bora mara milion kuliko kisanamu cha mzungu.. Stahamilini tu twende nao hivyo hivyo wanavyotaka wao ipo siku tutayafikia malengo yetu kuliko kuwa nao mbali hawa wanunuzi wa visanam vya mzungu.
 
Maalim Tayeb hio inaitwa MFUMO KRISTO AT WORK!
wao wameshika mpini! Lkn sisi tunakula nao hivohivo! Lbd wafungie kila mujahidina!
Ubaki uzi wa kugalatia tu! Waimbe na kucheza wenyewe!!

Teh teh teh! Zilishushwa data hapa za kufa mtu.....Tena zisizo na shaka hata kiduchu!

Ndugu yangu Dr. kahtaan, nahisi hawa JF wametumwa na Kanisa kuziondoa, kwani hata huu uzi pia waliutoa na sasa wameurejesha!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh! Zilishushwa data hapa za kufa mtu.....Tena zisizo na shaka hata kiduchu!

Ndugu yangu Dr. kahtaan, nahisi hawa JF wametumwa na Kanisa kuziondoa, kwani hata huu uzi pia waliutoa na sasa wameurejesha!

Teh teh teh teh!
Nakusoma kaka kwa raha zangu!
Zile chembe kidevu lazima tuwagawie!

Teh teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Nakusoma kaka kwa raha zangu!
Zile chembe kidevu lazima tuwagawie!

Teh teh teh teh.

Mm nadhani hawa jamaa zetu wamezuiwa wasichangie tena hi post maana tokea irudishe hakuna hata 1 katia mguu...hapa ndio inathibitsha kama maandiko ya quraan yametimia...Ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga.. maongo na manafik yote yamejitenga..
 
wamekimbia..!!! makafiri mpo wapi?? hakuna jema tufanyalo waislamu mkapendezewa nyinyi ..jibuni basi uzi huu kwa hoja sio jazba na maneno ya mitaani..fikra pevu!!
 
Back
Top Bottom