Dr Ramadhani Kitwana Dau aula tena ISSA

Dr Ramadhani Kitwana Dau aula tena ISSA

Kwahiyo Mods lengo lenu ilikuwa Dr.Dau aonekane mdini au tatizo ni nn? Kulikuwa kuna haja gani wa kuurudisha huu Uzi ikiwa kuna data mmezitoa? Ni heri mngeondoa kama mwanzo kabisa usiwepo. Inawezekana na nyie Mlawa mnalea haya mambo ya UDINI ambao sisi tunaupinga.
 
wajinga sana hawa na watashika adabu zao..mods hata ukifuta comments zetu zenye ushahidi haikusaidii..umetumwa na kanisa umfchafue dau?kwenye ukweli uongo hujitenga na imedhihiri..hamna maana nyinyi JF hamna tofauti na ile blog ya ze utamu ya kijinga tofauti yenu they were in photo wise defamation and you use written defamation way...shame on you jamii forum
 
Kwahiyo Mods lengo lenu ilikuwa Dr.Dau aonekane mdini au tatizo ni nn? Kulikuwa kuna haja gani wa kuurudisha huu Uzi ikiwa kuna data mmezitoa? Ni heri mngeondoa kama mwanzo kabisa usiwepo. Inawezekana na nyie Mlawa mnalea haya mambo ya UDINI ambao sisi tunaupinga.

Hilo si la kificho !........ukitukanwa Uislaam wao.ndo wanashangiliia !
 
wajinga sana hawa na watashika adabu zao..mods hata ukifuta comments zetu zenye ushahidi haikusaidii..umetumwa na kanisa umfchafue dau?kwenye ukweli uongo hujitenga na imedhihiri..hamna maana nyinyi JF hamna tofauti na ile blog ya ze utamu ya kijinga tofauti yenu they were in photo wise defamation and you use written defamation way...shame on you jamii forum

Humu tunao tuu, hawatakaa wapumue !
 
Kwahiyo Mods lengo lenu ilikuwa Dr.Dau aonekane mdini au tatizo ni nn? Kulikuwa kuna haja gani wa kuurudisha huu Uzi ikiwa kuna data mmezitoa? Ni heri mngeondoa kama mwanzo kabisa usiwepo. Inawezekana na nyie Mlawa mnalea haya mambo ya UDINI ambao sisi tunaupinga.

stata mzuka sisi tusio wagalatia tukianzisha uzi unaoonyesha KASHFA ZA WAGALATIA, AMBAZO NI ZA KWELI, Basi HAICHUKUI HATA SAA MOJA UMETOLEWA!

Lkn hao JAMAA ZAO wakianza kutukana uislamu kwa vitu ambavyo SIO VYA KWELI basi UZI UTAACHWA MPAKA UCHOKE MWENYEWE KUSOMA!

Lkn si tuko nao sambamba! Tutabanana hapahapa.
Lbd watufungie wote.
 
Last edited by a moderator:
IMG_5785.JPG


[h=3]CRDB YAKOPESHA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA KANISA[/h]

Turudi kwa huyu bwana Dau, Jamaa kazi anaijua na anajua nafasi yake kwenye jamii. haijapata kutokea kuwakopesha waislam kujenga msikiti.


CONSOLIDATED HOLDING CORPORATION


Mr. Dome Malosha Ag, Director General Mkristo
Mr. Methusela Mbajo Director of Finance Mkristo
Mrs. Elizabeth Mamba Corporation Secretary Mkristo
Mr. Albert Seming’ondo Director of Litigation Mkristo
Mrs Clara Kanza Ag, Director of Loan Mkristo
Mr. Nyaisa Makori Ag, Director of Divestiture Mkristo


::CHC Homepage::

Kumbe!
 
Jamaa Mdini sana, Kama sio Mwislamu huna chako. NSSF imekuwa kama Masjid.
 
Mada ya ajabu sana!

Dau sio Mdini - ila anatetewa kidini! Kwanini sasa?

Dau ni Mdini - pia anashambuliwa kidini! Kwanini tena?

Kama upendi udini kwanini unamtetea Dau kidini? unamtetea tu kwasababu ni muislam na wewe ni muislam; upuuzi wa haki ya juu.

Na kama wewe sio Mdini kwanini unamshambulia Dau kwa hisia za kibaguzi wa kidini, unamshambulia kwasababu ya makosa yake au kwasababu ni muislam nawe hupendi Waislam?! Kwanini? We ndio Mdini mkubwa.

Mada Dau kuwa ni Mdini au sio Mdini ilitosha kujadiliwa kwa hoja bila kuingiza mvutano wa kidini na hisia za kibaguzi kati ya Uislam na Ukristo. Mdini namba moja Jk aliyetumia huo udini kama karata yake ya uchaguzi wa 2010 anaweza kulaumiwa milele kwa makosa haya, maana uenda likaleta madhara makubwa katika Taifa letu.

Inawezekana Dau sio Mdini ila wana jf walio jadili hii mada wameonyesha ubaguzi mkubwa sana wa kidini bila kujali madhara yake. Pia yawezekana Dau ni Mdini lakini mjadala huu umeendeshwa kwa hisia za kibaguzi ambazo udini wa Dau haulingani nao.

Tusipojiangalia lazima kuna siku tutachinjana wenyewe kwa wenyewe kwa ajili ya kutetea viongozi wetu mafirauni wakubwa ambao wanatudhoofisha kila kukicha na kutufanya maskini wa kudumu huku wakitupulizia na kutafuta undugu kupitia udini. Kama wanatupenda watafute undugu nasi kupitia maendeleo sio udini.
 
Atafaa sana kama atapelekwa kuwa balozi wetu huko Syria!!
 
Back
Top Bottom