Dr. NDODI: Kuvaa suruali kuna madhara kwa wanawake

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Basi jana nikamsikiliza Dr. Ndodi, mwenye hospitali yake Itumbi Hoteli, kupitia Channel 5. Akafundisha mengi na kumalizia na yafuatayo:

1. Kwa kawaida protein/wanga ya/wa ziada husababisha vitambi kwa kina baba na maumbo makubwa(hasa makalio na mapaja) kwa kina mama. Kwa kuwa wanawake wakivaa suruali wanabana makalio na mapaja, hivyo protini/wanga ya/wa ziada hutaifadhiwa matumboni na hivyo kusababisha wanawake kuwa na vitambi.

2. Mbali na vitambi, kuvaa suruali husababisha ongezeko la maji "ikulu".

Mie nimelileta ili nipate kujuzwa kama kuna ukweli wowote juu ya madai haya.
 
Yule ni mtaalamu,yaweza kuwa kweli......:coffee:

Nitajicheki kesho ntakuja jibu.........hilo la maji.....l.o.l
 
inawezekana ikawa ukweli au uwongo,maelezo ya kina yanahitajika kusuport ama kutosuport hizo theories zake....:twitch:
 
tapeli hilo hahahahahahaha,sasa kama unaishi maeneo ya baridi kali utavaa nini jamani:coffee:
 
labda kweli....
wanawake wengi wanaopenda kuvaa suruali za kubana...
wanakuwa hwana wowowo....na wanakuwa na kitambi....
could be
Mh!.. Cdhan, mbn mitaani wapo kibao wanavaa suruali na wana ma sabuhufa hayo!...
 
Back
Top Bottom