Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,592
- 23,954
Pole sana, kwa hakika unazidi kudharaulika!Katiba mpya haijengi viwanja kama hivi. KATIBA ni muhimu sana lakini sio kipaumbele namba moja kwetu kwa sasa. Kanzu tunayo tunatafuta kilemba tu.
Pole sana, kwa hakika unazidi kudharaulika!Katiba mpya haijengi viwanja kama hivi. KATIBA ni muhimu sana lakini sio kipaumbele namba moja kwetu kwa sasa. Kanzu tunayo tunatafuta kilemba tu.
Sawa, hata kama wewe hujui uzuri wa hii Katiba basi angalia hapa. Afrika na dunia inabaki vinywa wazi. Eti mtu anataka tuache kufanya haya ili tutumie fedha za kujenga hii tuandike Katiba.
Chondechonde Samia wewe tujengee reli wajao akina Dr. Katiba wataandika Katiba.
View: https://youtu.be/m1V4GDBBcQw?si=CpmzkArZk2qEfy3h