Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Pole zke sana huko aliko aiseeee
Nikisoma comment za vijana wa chadema naogopa, naanza kuaaelewa kwnini viongozi wake na wanachama wake wanahusishwa na unywaji waa gongo
una uhakika ni chadema?? au ni mtu mwenye issues zake tu?Hivi mbona watu wa chadema mmekosa utu hivi, sio kipindi cha kusema kauli kama hizi. Chadema kuweni hata na utu basi
Acha kufuru kijana.
Sio ajabu kumtokea maana huyu naye ana safari ya kwenda ikulu. Sasa si unajua wote walianza mbio kabla ya 'on your mark'. Sasa ametolewa nje ya uwanja sijui itakuaje!Dk . Emmanue Nchimbi , ambaye
alikuwa waziri wa mambo ya ndani ya
Nchi, yuko hoi hospitarini . Madaktari
wanasema anasumbuliwa na ugonjwa
wa msongo wa mawazo .
Kwa mujibu wa mmoja wa
wanafamilia wa karibu wa Nchimbi ,
anasema mwanasiasa huyo
amekubwa na ugonjwa huo mara
baada ya Rais Jakaya Kikwete
kutangaza baraza lake la mawaziri
Jumapili iliyopita.
Amesema Nchimbi amekuwa
akisumbuliwa na msongo wa mawazo
tangu alipolazimishwa kujiuzulu na
Bunge baada ya kukumbwa na kashifa
kwenye opesheni ujangili.
Amenieleza kwa sasa amelazwa
kwenye hospitali moja jijini Dar es
Salaam chini ya ulinzi mkali wa
wanafamilia. Kulazwa kwake na hata
ugonjwa wake kumefanywa siri
kubwa .
Tunaendelea kufuatalia na
kutawaletea kila kitakachopatikana.
Chanzo: mitandao ya kijamii.
Naimani Mungu kwa uwezo wake atamponya Dr Nchimbi ili arejee kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake.
kukosa uwaziri is not the end of the world maisha lazima yaendelee tu , aponywe katika jina La Yesu
JK ashamtembelea hospitali, au?Amenieleza kwa sasa amelazwa
kwenye hospitali moja jijini Dar es
Salaam
JK ashamtembelea hospitali, au?
Sasa kama yu hoi kwa uwaziri, vipi hali ya wajane, mayatima na wale waliong'olewa viungo
Si huyu alikuwa anafunika makombe watu wakiuawa na kuteswa leo maumivu anayapataje.
Dr Nchimbi is safe and sound, acheni mawenge ya kizandiki.
Wewe nani kwake ?
Mmmmh.. Huyu karogwa!Dk . Emmanue Nchimbi , ambaye alikuwa waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, yuko hoi hospitarini . Madaktari wanasema anasumbuliwa na ugonjwa wa msongo wa mawazo .