Dr Nchimbi Hoi!!!

Dr Nchimbi Hoi!!!

Status
Not open for further replies.
Nasikia jamaa ni Mshirikina hatari kuna ndugu yake mmoja jina limeifadhiwa nilisoma nae anasema kwao na yeye mwenyewe Mh. ni hatari funga kazi ya kijiji

atumie mbinu hizohizo kujiokoa basi , mbona amegwaya na amejisalimisha hospitali ? Masikini NCHIMBI !!! alisahau kwamba MALIPO NI HAPAHAPA ! Bado mmoja , KWELI MUNGU SI ATHUMANI !
 
Juzi kati alidai hati kasamehe wote.walio mtendea ubaya kumng'o uaziri.inatia uchungu afie mbali
 
Nasikia jamaa ni Mshirikina hatari kuna ndugu yake mmoja jina limeifadhiwa nilisoma nae anasema kwao na yeye mwenyewe Mh. ni hatari funga kazi ya kijiji

Kwahiyo haamini kama Uchawi aliokuwa akiutegemea umekataa kazi
 
Nchimbi njoo huku. Aliye juu mngoje chini. Tupo wote chini mkuu. Makidai yote kwisha. Umetesa watanzania wenzako utafikiri wewe si mtanzania bali kaburu.

...alafu 2015 tunapiga chini ubunge,hakyamama tunaeza zika mtu,sio masiala kuchomolewa mrija akati gorofa kama ya maige haijaisha...
 
Nikisoma comment za vijana wa chadema naogopa, naanza kuaaelewa kwnini viongozi wake na wanachama wake wanahusishwa na unywaji waa gongo
 
Ana siri nyingi, huenda wenzie wanataka kumtanguliza. Na kwa comments hizi wanasiasa wanapaswa kujitathimini kwa matendo yao na hatima ya maisha yao

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
nikisoma comment za vijana wa chadema naogopa, naanza kuaaelewa kwnini viongozi wake na wanachama wake wanahusishwa na unywaji waa gongo

mkuu sixgates hao jamaa wanafikiri siasa ni vita,no wonder wakishika nchi wanaweza kufunga wapinzani wote.
 
Last edited by a moderator:
mkuu sixgates hao jamaa wanafikiri siasa ni vita,no wonder wakishika nchi wanaweza kufunga wapinzani wote.

Ni kweli mkuu, hata huku mtaani wanachdema hawapendi mijadala huru huamini katika matumizi y nguvu. Sijui hii tabia wametoa wpi. Sikushanga sugu alivyopiganaa na polisi bungeni, nashukuru polisi walikuwa imara wakaamkung'uta baraabara
 
Last edited by a moderator:
Mwangosi hata asingekufa na mabomu bado angekufa tu hata kwa N.goma na ajali

Naona chadema mnatumia kama mtaji hili suala la mwangosi,
 
alikuwa hajamalizia kuchukua chake mapema ndio maana ana stress. Alikuwa mmoja wa wale wamaliza tembo wetu. Gari la kubebea wagonjwa a.k.a ambulance la hospitali ya wilaya ya mbinga lilikamatwa usiku porini likitokea selous likiwa na meno ya tembo ya huyo mheshimiwa. Kwa vile yeye alikuwa na mamlaka kt hiyo serikali na anachukua chake mapema issue iliisha kimyaa. Hivya anasikitika kuondoka madarakani kabla tembo wa selous hawajaisha.
 
mwambieni anatakiwa kwenda kuoga baharini akiwa ..... wa mnyama, na akienda huko arudi kinyume nyume aoge mara tatu, akitoka hapo maadui zake wataugua

Sangoma tricks
 
Ndio tatizo la kumtegemea mtu badala ya kutegemea uwezo wako,wengi wanategemea huruma ya raisi kushibisha matumbo yao,ndio maana hata wakiambiwa walambe viatu wanalamba,akipona aende akafundisha cha kada mwenzake Ma------,watu hujisahau sana na kujiona kana kwamba wao ndio wenye nchi,kisa ni swahiba na mwenye kigoda
 
kukosa uwaziri is not the end of the world maisha lazima yaendelee tu , aponywe katika jina La Yesu

issue hapa ni ile immunity aliyokua anaipata akiwa serikalini

mbaya sana hii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom