Dr Nchimbi Hoi!!!

Dr Nchimbi Hoi!!!

Status
Not open for further replies.
Damu za watu wasio na hatia ndizo zinamtafuna! Cheza na mzimu wa Dr. Mvungi weye!!!!!!

Umeniwahi kusema. Naongezea: yamu ya Mwangosi, mabomu ya kuivuruga CHADEMA Arusha, wachuuzi wa magazeti Morogoro, ...
 
Liwe fundisho kwa wengine huwa upewapo madaraka yapo mambo ya msingi ya kufuata. Heshima kwa wengine, utu,majibu ya staha na kuwajibika. Kwa kiwango cha juu sifa hizo Nchimbi aliziweka mfukoni.
amehusishwa kwa mambo mengi yasiyo mazuri na nafasi ya kujisafisha sasa imekuwa finyu.
 
Mwagosi naye anamlilia natume yake aliunda majibu mpka Leo kizungu mkuti aende atubu mungu ni wahuruma hatamsamehe
 
Huyu si amewai kusema akijiuzuru hatuwezi kumpata waziri mwingine kama yeye.....Nadhani haamini kama kweli ametoswa kwenye uwaziri.!
 
Ajinyongee kabisa. Alikuwa anatamba eti atakuwa waziri kwa awamu yote ya nne kwa kuwa alimsaidia sana rafiki yake kupitia uvccm alkipindi kile akapata ushindi wa tsunami. Kamtema hajaamini macho yake. Kakuua akikuangalia machoni.
 
Hivi mbona watu wa chadema mmekosa utu hivi, sio kipindi cha kusema kauli kama hizi. Chadema kuweni hata na utu basi
Alipokuwa anashirikiana na Mwigulu kurusha mabomu katika mikutano ya CDM na kuua hadi watoto yeye alikuwa na utu?
 
Anajiuguza ili apate huruma ya rais?!!! Maaskari walipokuwa wanaua wananchi maeneo mbalimbali ya nchi hilo mbona halikumuuguza? Au ni kuku tu walikuwa wanauawa? By the way, ni kwa nini hajaburuzwa mahakamani?

Ili mtu aburuzwe mahakamani lazima awepo Mlalamikaji na Mlalamikiwa! Sasa kama kesi ni Watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Vs Nchimbi, ni lazima Jamhuri in this case Serikali ya TZ imshtaki Nchimbi. Sasa jiulize kama aliyokuwa akiyafanya Nchimbi ni Maamuzi ya Baraza la Mawaziri, Rais akiwa Kinara wa Baraza hilo, unadhani ni Jamhuri ipi itamshtaki Nchimbi?
MY TAKE: JITOKEZE UKAMSHTAKI NCHIMBI PERSONALLY, UNAYO HAKI. kesi hii itakuwa Hiroshima VS Nchimbi on ............(utakachomstaki nacho). Ukisimamia vizuri huenda ukashinda!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu si amewai kusema akijiuzuru hatuwezi kumpata waziri mwingine kama yeye.....Nadhani haamini kama kweli ametoswa kwenye uwaziri.!

Tatizo la wanasiasa wajinga kama hawa huwa wanafanya siasa za upambe ndiyo kazi yao rasmi. Ukiangalia huyu mjinga anaweweseka akijua kwamba hana pa kwenda tena, hivii hii ni akili ya binadamu aliyekamilika kweli au ni shoga huyu anayefikiri bila mpini hawezi kuishi???
 
Huyu jamaa mpuuzi sana, bora alivyotoswa! Eti nae anawaza kuwa Rais wa Tanzania!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom