Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Ungesema DR MWAKYEMBE NAANZA KUMUUMBUA ningekuelewa. Pamoja na kwamba thread inapata wakat mgumu kueleweka, lakin pia ina dalili zote za kumuunganisha Mwakyembe na ufisadi.
Tena ndugu yangu ukitaka umuumbue fresh mpelekee issue yako RA au EL wakaiombee HOJA BINAFSI bungeni kabla bunge halijaanza. Huko utatusaidia kujulikana kwa m-miliki wa Dowans
Thanks Mkuu, ila Hapo kwenye redi ni Rostam Aziz au Edward Lowasa: jf, Where We Dare To Talk Openly