DR. Mwakyembe na Natural Justice


unataja majina ya akina mwanakiji yanakusaidia nini? huyo kiranga naye aliuliza kwa nini mwakyembe hakumhoji Lowasa naona naye unasema hoja yake ina mashiko!

uko bize? leo hii , hii ni post yako ya pili kwa siku nzima ya leo! jana umepost post tatu tu, yet uko bize mno na unasema nakupotezea muda!!! unafiki huu na kugawa watu makundi hakukufikishi popote pale na kunakuabisha tu

kama ni slow learner bear with me, kama ni low thinker nibebe tu, kama nina logic jibu, na ukishindwa potezea.. thread nyingi sana humu!

huyo malecela anatapatapa tu na CCM yake, wanataka kutuaminisha mwizi ni Lowassa wakati na mwakyembe ni hero! wote ni wezi tu , sikuwa na divert mjadala..umewaza hivyo...kutaka kukomaza unafiki wake anasema the powerfull PM?? this doesnot make sense at all?? tabia za kinafiki mbaya..sisi wengine tunawawasha tu na HUNA UWEZO WALA MAMLAKA YA KUNINYAMAZISHA labda uje unipokonye L/top yangu, ofisi yangu na ufunge cafe zote...niache kwa sababu umesema haiwezekani...na kwa haraka nimeishajua wewe unajikomba watu wenyewe hauwajui..tunashindana na hoja, wewe kaa pembeni kajadili tunda alilokula adamu na eva..that is your limit!
 
Jamaa(EL) bado hata hivyo alikuwa na nafas ya kujitetea mbele ya pilato(bunge) na hakufanya hivyo,-akasusa! Sasa kushinikiza ripot ya ugonjwa hadharan itatusaidia nini sie?
 

Mkuu Ame, asante kwa ushauri mzuri

hakuna anayemsafisha Lowassa, Lowassa ameishajifia na hana uwezo kama wengi wanavyofikiria, ila lile doa la nini kilitokea litaendelea tu siku nyingine zote. EL anavuna alichopanda, na Mwakyembe anavuna alichopanda, vita hii na nyuma yake kuna nini haielezeki kwa maelezo ya wengi humu. Mwakyembe hata yeye anajua kuwa alitakiwa kumuuliza Lowassa. Ila alizuiliwa. Anayetaka kumuua Mwakyembe ni hao hao waliomwambia asimuulize Lowassa!

to cut short, CCM ni mafia na hakikisha wanaondoka madarakani!! kundi fulani kusema hivi kwa kundi fulani ni kupalilia waendelee kukaa kitu ambacho ni hatari

Ame unasema kama nampenda nimwambie? yaani unaamini ninaweza kusema nao na kuwaona kwa macho yangu, I have never met EL zaidi ya kwenye magazeti, mwakyembe ndio ninafhamu vizuri mpaka blood group lake!! wengi humu wanatoa maoni kwa upenzi na si kuwa wanawajua hao wanaowatetea...mtavunja hadhi ya jukwaa, huu ni uwanja unawakusanya watu wote....TABIA NA MWAZO TOFAUTI SANA na tukiwa wote na akili ya invisible why are we having JF?
 
Reactions: Ame

so unasema Lowassa hana nafasi ya kuwa Rais?
na waliompa sumu Mwakyembe sio watu wa Lowassa???????
 

Sasa ulitaka waseme nini. Hiyo ni lugha sahihi ya ntu anayejua mipaka yake. All the facts still stand. Lowassa alijiuzulu si jwa sababu aliombwa au kulazimishwa bali alijipima na akaona ni uamuzi sahihi. Hivi jwa nini baada ya kujipima kama anavyojipima sasa hakusema kutajwa kwa jina lake hakuna msingi na hivyo analiachia bunge liamue? Lowassa aliamua kujiuzulu yeye mwenyewe na yeye mwenyewe akubali lawama ya hivyo. Hivi kweli Rostam aibuke leo kulalamika kuwa chama chake hakikumpa nafasi ya kujitetea ndio maana alijiuzulu ubunge? Kweli watu walaumu ccm kwa ra kujuzulu?
 
mwakyembe ni kiongozi wa umma, kiutaratibu, taarifa (report) kuhusu ugonjwa wake inapaswa itolewe na daktari wake/ waziri wa afya/ msemaji wa familia... zaidi ya hapo sioni cha kumlaumu DR.

Nashukuru sana mkuu
maana waliowengi wanadhani DR Ni mtu wa kijiweni, basi akijisikia kusema anasema,hapana ni kama mkuu alivyonena hapo juu kuwa serikali ndio msemaji wake mkuu kupitia wizara ya afya na hata Daktari wake akitaka kutoa taarifa ni lazima apate baraka kutoka sehemu husika

na tusitegeme wizara itasema eti Dr alipewa sumu hahahaha hilo halipo hata kama alipewa lakini kikawaida haitowekwa hadharani kama mfikirivyo ni kwa usalama wa nchi na watu wake kwa ujumla
 
Reactions: Ame

Mkuu Mwanakijiji,

Mjadala huu unanikumbusha jambo moja lililotamkwa na Mwanasheria Alex Mgongolwa akihojiwa na Clouds FM mara baada ya kusomwa kwa taarifa ya Kamati Teule ya Bunge kuhusu Richmond, alisema ripoti imeandaliwa na mtaalamu wa mitego ya kisheria, kwamba kwao wao wanansheria kile kilikuwa kitanzi ambacho kila unapojitahidi kujisafisha ndipo kinapozidi kukaza, na akashauri wahusika wote wakae kimya ama sivyo watazidi kujiumiza kwa kujiumbua.

Kinachojidhihirisha hapa ni Lowasa kuzidi kujiumbua na kujimaliza kupitia mikakati yake hii ya kujisafisha anasahau kuwa ni yeye mwenyewe aliyepima akajiona ni mhalifu akajiuzulu, hili hata watetezi wake wanashindwa kuliona au hawataki makusudi kulizungumzia!
 

Wabe kwakua wewe unaamini basi jua wazi vita hii ni vita yenye maelezo ya wazi. Tupo tulioamua kusimama kwa zamu zetu ili kuitafuta Tanzania iliyo njema ambayo uwezo wa kuipata umo mikononi mwetu maana tumepewa nguvu uwezo na mamlaka kupata kila tunachokitamani kama kiko sawa sawa na mapenzi ya Mungu. Kama ujuavyo katika hili tunataka wote tutoke salama isipokuwa wale tu wana wa uovu ambao kwa hiari yao wameamua kumtumikia muasi; hao watajimaliza wao wenyewe kwa panga walizo jifulia kwa mikono yao. Ni hilo tu kwa mengine yote tuombeane tu ili jina la Mungu lisitukanwe kupitia sisi.
 
ndo mana mleta mada kamshauri mwishoni kua aitake serikali hadi tar 5 january itoe tamko otherwise ripot ataitoa mwenyewe ndo matatizo ya kusoma tu heading halafu unadandia kujibu

Mungu kamponya na ugonjwa, nyie mnataka ataje ugonjwa na sababu ili ziwasaidie nini? Kwa nini mnataka azidi kuwanufaisha wasiohitajika?

Hapa JF wapo walioshabikia kuumwa kwake na wengine kumtakia kifo. Sasa kapona kwa nguvu ya YESU KRISTO, mnataka aitishe serikali ambayo yeye ni Waziri. Mkijua mtampa nini kama compesations au mtawaua mnaotaka awataje? Kibaya tayari mnahisia zenu mnazotaka zithibitishwe, poleni.

Mh. Mwakyembe, keep calm, mshukuru Yesu aliyekuponya na umtangaze yeye. Shetani ndiye aliyekusababishia ugonjwa na Yesu kakuponya, MWISHO. Malumbano ya nini?
 
Reactions: Ame

umeongea sana, lakini malezo yako ni kama vile yanaonyesha kamati was right kumuogopa Lowassa, very difficult kukuelewe na kuielewa kamati...

Hayo ya Lowassa kupambana, sidhani kama wewe unaweza kusimama kwenye mahakimu 200+ ukapambana unless utuambie wewe umetoka MASS na sio duniani... TUKUBALI TUSIKUBALI, KAMATI YA MWAKYEMBE IMECHANGIA KULINDA BAADHI YA WATU WALIOTAKIWA KUWA JELA SIMPLY BY JUSTIFYING KWAMBA KUNA TAARIFA WALIHIFADHI ILI KUTOIVUA NGUO SERIKALI, SO EVERY GUILTY PERSON ANATUMIA HIYO UMBRELLA KUSEMA KWAMBA KUNA YALIYOFICHWA... WHICH TRANSLATE KWAMBA KAMATI USED RESOURCES T GATHER INFO AND DELIVERED JUST A PORTION OF IT, AND YET THY USED FULL RESOURCES

DOESNT MAKE SENSE TO ME, NAKUPA SOW NA WEWE UNANIPA RIPOTI ISIADREES KILA AREA YA TOR NA SOW
 

kweli kaka, nimekubali ...tuko pamoja.

Mkuu x-mass njema, kama uko Tanzania tengeneza pilau ya asili , kama uko 'kule' duni nyingine najua umeishaisherekea mwezi wote huu....



nadhani haujasahau nikisema mwana kondoo ameshinda unajibu nini!
 

x-mass njema
 
Reactions: Ame

MTM usisahau X-mass mkuu!!





X-MASS NJEMA!!!!
 
Ndiyo maana Sugu anaitwa Mbilinyi. Hawa kina Mwa baadhi yao hawana maana hata kidogo.
 

Kama Lowassa alikuwa implicated kwa mujibu wa uchunguzi wa Kamati ya Mwakyembe, na Mwakyembe akaandika ripoti bila kumuhoji na kupeleka ripoti bungeni, at the very least anakuwa hajakamilisha aspects hizi mbili za objectives alizopewa.

 
Kuna uhakika kuwa alipewa sumu? Isije ikawa ugonjwa wa ngozi tu kisha mtu akapata mtaji wa kisiasa.

Thanks...

Kwa tabia ya wanasiasa wa bongo... anaweza hata akapata tegu akasema kapewa sumu, the cloud is too shambled to trust any politician
 
Waberoya Lowassa alijiuzulu kwa sababu ni mwizi kama ripoti ya Mwakyembe ilivyosema au kwa sababu hakuitwa kwenye kamati? Ha! Ha! Ha! Hebu chagua moja tuendelee na mjadala! Ha! Ha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…