amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha, kuna tetesi kwambaDr Mwakyembe Mbunge wa Kyela amejikuta anapata kashfa na aibu kubwa jimbonikwake Kyela baada ya kutoa na kuahidi misaada mbalimbali wilayani humo; ikiwani njia ya kujibu mapigo kwa Asasi na makamanda wa CHADEMA waliotoa misaada wilayani hapa.
Inasemekana kashfa na aibu ya kufungua mwaka 2013, imempatawaziri huyo baada ya kujifanya ametoa msaada wa magodoro 40 na mashuka 60kwenye hospitali ya wilaya ya Kyela, kumbe ni msaada uliotolewa na Kampuni yaBioland. Aidha, Dr Mwakyembe ameahidi kutoa madawati 180 kupitia mgongo wa benkiya NBC, tawi la Kyela, hata hivyo kuna taarifa kuwa benki hiyo imemkatalia yeyekuwa ndiye ametoa madawati hayo kwa kigezo kuwa benki haiendeshi shughuli zakekisiasa na itakabidhi msaada wa madawati hayo muda wowote itakapoona inafaa. Yote hayo alikuwa anajaribukujibu mapigo ya Asasi ya SCSA au Pambana Saidia Jamii iliyotoa madawati 100kwenye shule ya msingi Ikombe.
Kama haitoshi, Dr Mwakyembe akiwa kwenye mkutano wa hadharakata ya Ngonga karibu na nyumbani kwake aliahidi kutoa mifuko 100 ya sarujiakijibu mapigo ya Diwani wa CHADEMA, kamanda Tamali aliyetoa mifuko 20 kwenyekata hiyo. Ahadi hiyo imeibua hasira kubwa kwa wanakyela kutokana na ukweli kwamba mbunge huyo haonekani jimbonikwake na ahadi nyingi alizotoa jimboni hapa hakuna iliyotimizwa, ndio maana wanakyelahawana imani naye tena.
Kutokana na hali hiyo, kikao cha ndani cha dharura cha CCMwakiwemo wazee kiliitishwa wilayani hapa ambacho kilikuwa mahsusi kumuonya mbungekuhusu mambo hayo aliyofanya kwani ni kuwadanganya wananchi ikizingatiwa kuwaahadi nyingi alizotoa jimboni hapa hajatekeleza.
Upepo na hali ya siasa kwa mbunge huyo si shwali wilayanikyela kama lilivyokuwa 2010, tofauti na watu wengi wanavyodhani kupitia vyombovya habari akionekana mchapakazi kitaifa lakini jimboni kwake wamemchokakwasababu amelitelekeza jimbo lake.
Nawasilisha................
Source: Mdau kutoka Kyela.
Inasemekana kashfa na aibu ya kufungua mwaka 2013, imempatawaziri huyo baada ya kujifanya ametoa msaada wa magodoro 40 na mashuka 60kwenye hospitali ya wilaya ya Kyela, kumbe ni msaada uliotolewa na Kampuni yaBioland. Aidha, Dr Mwakyembe ameahidi kutoa madawati 180 kupitia mgongo wa benkiya NBC, tawi la Kyela, hata hivyo kuna taarifa kuwa benki hiyo imemkatalia yeyekuwa ndiye ametoa madawati hayo kwa kigezo kuwa benki haiendeshi shughuli zakekisiasa na itakabidhi msaada wa madawati hayo muda wowote itakapoona inafaa. Yote hayo alikuwa anajaribukujibu mapigo ya Asasi ya SCSA au Pambana Saidia Jamii iliyotoa madawati 100kwenye shule ya msingi Ikombe.
Kama haitoshi, Dr Mwakyembe akiwa kwenye mkutano wa hadharakata ya Ngonga karibu na nyumbani kwake aliahidi kutoa mifuko 100 ya sarujiakijibu mapigo ya Diwani wa CHADEMA, kamanda Tamali aliyetoa mifuko 20 kwenyekata hiyo. Ahadi hiyo imeibua hasira kubwa kwa wanakyela kutokana na ukweli kwamba mbunge huyo haonekani jimbonikwake na ahadi nyingi alizotoa jimboni hapa hakuna iliyotimizwa, ndio maana wanakyelahawana imani naye tena.
Kutokana na hali hiyo, kikao cha ndani cha dharura cha CCMwakiwemo wazee kiliitishwa wilayani hapa ambacho kilikuwa mahsusi kumuonya mbungekuhusu mambo hayo aliyofanya kwani ni kuwadanganya wananchi ikizingatiwa kuwaahadi nyingi alizotoa jimboni hapa hajatekeleza.
Upepo na hali ya siasa kwa mbunge huyo si shwali wilayanikyela kama lilivyokuwa 2010, tofauti na watu wengi wanavyodhani kupitia vyombovya habari akionekana mchapakazi kitaifa lakini jimboni kwake wamemchokakwasababu amelitelekeza jimbo lake.
Nawasilisha................
Source: Mdau kutoka Kyela.