Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
Jamaa yangu amba.nkya unanishangaza yaani Mwakyembe jana tu kaeleza TRC itapata vichwa 25, mabehewa ya Abiria pamoja na ya mizigo zaidi ya 100 wewe unataka awataje na wafadhili watakaotoa misaada hiyo au mikopo?Of course, hakuna taabu, bali unapaswa kuwashukuru waliokusupport huo msaada na sio kujifanya wewe umetoa kwa fedha zako wakati umechangiwa, hii ndio hoja inayojadiliwa hapa na si vinginevyo!
Sasa wewe unazungumzia jimbo la Kyela unasahau huyu jamaa yuko Nchi nzima mpaka na Reli ya Ubungo na Bandari au mnahasira anavyowabana na kuwatimua huko Bandarini maana mlijipanga ndugu watupu mpaka mkasahau kwenu Hai, hivi ni kwanini usiwaulize hao Wabunge wengine mbona hatuwasikii majimboni kwao?
Hapa sijaona Mantiki ya kumfananisha mbunge yoyote na Waziri kama Mwakyembe au Magufuli na ninakuhakikishia ni vichaa tu watakaomnyima kura asirudi Bungeni na kuwa Waziri kwa kipindi cha 2015 - 2020
Last edited by a moderator: