tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Mimi binafsi naona Dr anawaangusha wapiga kura wake kwa yeye kutotaka kusema anaumwa nini na sababu za ugonjwa wake anapo ulizwa. Kwanini hasemi? wapiga kura wake wana haki ya kujua.Amewaweka njia panda,wakati wapiga kura wanampenda na wana wasi wasi na afya yake.Hapa inaonesha Dr hawajali wapiga kura wake kama wao wanavyo mpenda na kumjali.Hayo ni mawazo yangu.Je wengine mnafikiria nini?