mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 237
RIP dokta. Amenitibu sana nikiwa mdogo. Roho ya marehemu ipate pumziko la Amani........Amina.
Ni Kaka wa mama Mkapa, alikuwa Dr wa Mzee Mkapa kipindi cha urais na pia ni dr muhimbili na ana dispensary yake Kkoo.