KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Habari za kusikitisha mmiliki wa zahanati moja maarufu jijini iliyopo mtaa wa swahili kkoo dr f maro amefariki tar 7jan12 mungu aiweke mahala pazuri roho yake
Habari za kusikitisha mmiliki wa zahanati moja maarufu jijini iliyopo mtaa wa swahili kkoo dr f maro amefariki tar 7jan12 mungu aiweke mahala pazuri roho yake
Habari za kusikitisha mmiliki wa zahanati moja maarufu jijini iliyopo mtaa wa swahili kkoo dr f maro amefariki tar 7jan12 mungu aiweke mahala pazuri roho yake
... Kwa vyovyote vile hii habari ingekuwa na ufafanuzi zaidi ingekuwa na ukamilifu wa kutosheleza ... kwa sasa hayo tuyaaache kama funzo!!!
... Poleni sana wa Wafiwa na tunaomba Mungu kuiweka Mahali peme peponi Roho ya Marehemu!
kaka huyo ni barnabas maro ama?
... Kwa vyovyote vile hii habari ingekuwa na ufafanuzi zaidi ingekuwa na ukamilifu wa kutosheleza ... kwa sasa hayo tuyaaache kama funzo!!!
... Poleni sana wa Wafiwa na tunaomba Mungu kuiweka Mahali peme peponi Roho ya Marehemu!
... Kwa vyovyote vile hii habari ingekuwa na ufafanuzi zaidi ingekuwa na ukamilifu wa kutosheleza ... kwa sasa hayo tuyaaache kama funzo!!!
... Poleni sana wa Wafiwa na tunaomba Mungu kuiweka Mahali peme peponi Roho ya Marehemu!
ufafanuliwe atafufuka lini??amakaka ufafanuzi gani? Wakati umeambiwa amekufa lazima useme ufafanuliwe nini