Labda ishinde kwa wizi asilimia 80.
Mtanyooka tu, kama mnaanza kuzungumzia wizi mapema duh
Labda ishinde kwa wizi asilimia 80.
Embu tuambie sera hata moja ya magufuli tuone kweli kama atashinda
Labda ishinde kwa wizi asilimia 80.
Pamoja na joto na mihemko ya kisiasa na hiki ki changamoto ya wapiga kelel/wanywa viroba watani zetu wa jadi PAKAWA lakini CCM itashinda kwa kishindo zaid ya 80% na kupata viti vingi vya ubunge, maana wananchi wanaiamni zaid CCM kuliko SACCOS zisizo hata na Physical Address, hivi UKAWA ndo nini (kwa sauti ya Joti)
CCM mbele kwa mbele.
Jakaya akiingia madarakani tulikuway na Tembo wengi na Vifaru mpaka wanapita karibu na majumba yetu.
Leo anaondoka wanyama hao wamegeuka almasi,Ukienda kwenye hifadhi zetu bila darubini huwezi ona Tembo wala Kifaru.Utawala wa Ccm umeshindwa masikini kuwalinda.
Bado mwaka huu wanatuletea Magufuli tena wakijinasbu ikulu lazima warudi kwa njia yoyote ile,Watanzania tusikubali tena hawa watu watuongoze,This time ndio wanaenda kumalizia Vitembo na Vifaru vichahe tulivyobaki navyo.
Ikatae Ccm kwa faida ya vizazi vijavyo na rasilimali zetu.
Magufuli chini ya KINANA hata swala na Nyumbu tutawaona kwenye picha tu,October uwe mwisho wao na wanyama wetu wapone.
Pamoja na joto na mihemko ya kisiasa na hiki ki changamoto ya wapiga kelel/wanywa viroba watani zetu wa jadi PAKAWA lakini CCM itashinda kwa kishindo zaid ya 80% na kupata viti vingi vya ubunge, maana wananchi wanaiamni zaid CCM kuliko SACCOS zisizo hata na Physical Address, hivi UKAWA ndo nini (kwa sauti ya Joti)
CCM mbele kwa mbele.
Kama mpaka sasa hujui Ukawa wewe sio mwanasiasa halafu ulivyoandika tu inaonyesha ubongo wako una Ram 20mb.