andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
Inategemea na umuhimu wa barabara pia
Serikali makini huwahudumia wananchi wake kwa haraka hivi inapotokea dharura, Hongera Waziri Magufuli. Mungu aendelee kukupa Nguvu za kuwatumikia watanzania bila kuchoka.