NG`WANA ONG`WA DOYI
Senior Member
- Jan 31, 2013
- 112
- 42
Tuliaminishwa kuwa Salim ni mwarabu na hafai kuongoza Tz. Isitoshe alishiriki kwenye mauaji ya Karume. Wamteue basi halafu watuombie kabadilika lini.
'.........mh.rais wewe unajua kwamba nikwambia tusimamishe mkataba na richimond ukakataa....by El"ikifika saa kila mtu anajisafisha kivyake.