Dr. Kitila Mkumbo Anafaa Kugombea Urais wa Tanganyika Kwa Tiketi ya CHADEMA

Eti Slaa Muungano kitila Tanganyika! Unakurupuka tu, who is Kitila? Hatutaki watu wa kujifunzia kuongoza. Huyo Dk. wenu kazeeka hatutaki wazee sisi. Bora mtuwekee yule Mkigoma tumchague.
 

Unapoteza muda kubishana na jitu ambalo halijui hata maana ya DARUSO!
 

Kwani Mtatiro alikuwa Rais wa Daruso?yeye alikuwa ni Waziri Mkuu,nafasi ya kuteuliwa!
 
Mbona tunamfahamu
 
Mkuu Matola nakuunga mkono kwa hili, hivi vijiwe vyetu vya kahawa huwa tunadanganya sana na kueneza sumu mbaya ya udini ndio maana muda wote tunaona tunaonewa kumbe tatizo letu kubwa ni shule
 
Last edited by a moderator:
Kijijini kwao hawayajui haya, ndio maana wamempiga za uso kwenye uchaguzi wa vijiji na vitongoji. Kwa umbea wako wa kuandika vitu visivyo kuwepo, wenda ungefanikiwa kuwalaghai wanakijiji na wangeipa CHADEMA kwa mwamvuli wa Mkumbo.
Mambo ya kijijini kwao hayana uhusiano na uwezo wake wa uonhozi. After all, hajawahi kujitangaza kule maana,anabanwa na sheria kwa kuwa yeye ni mfanyakazi wa serikali
 
wanamwogopa sana kwa sababu ni muuaji..kumbuka walipoenda singida wakaua kijana wa watu asiyekuwa na hatia
Moderators, tusimamie sheria za jamvi letu.

Msiruhusu watu kuandika mambo ambayo hayajathibitishwa. Kesi ziko mahakamani na kadiri ya sheria mtu hana hatia mpaka pale ambapo mahakama imejiridhisha bila kuacha wingu la mashaka kuwa ana hatia.

Nadhani pia kuna sheria ya name calling!

Cc. Paw, Fang, Invisible
 
Last edited by a moderator:
Kumbe tunabishana na mtu mwenye chuki binafsi unawaita watu mazezeta bwana acha hizo
 
unashughulika na hoja ambayo haina maana. Nani amekuambia nyumbani kwake hawamjui? Yeye hajawahi kugombea kule iramba. Kumbuka hata Mbowe na Prof Lipumba mwaka 2005 majimbo yao yalichukuliwa na ccm. Mbona hatukuwahukumu kwa hili? Hadi leo hata kitongoji cha mahali alipozaliwa Lipumba kipo chini ya CCM mbona hamsemi Lipumba hafai? Kwa hiyo hicho si kipimo cha uongozi
 
dr kitila anafaa kwa asilimia zote bila kuangalia itikadi,ukanda wa kabila nakumbuka sana msaada huyu jamaa kwa wanafunzi UDSM.
 
Hata Mwigulu ni jembe,anafaa kuwa presdaa.Ni mtu mwenye kujiamini,ni mchumi nambari 1 tz,ni mbunifu,ni mzalendo,n.k
Toa uthibitisho. Amefanya machapisho mangapi? Amefanya kitengo gani cha uchumi kwa mafanikio? Kuna tofauti ya kusoma na kuelimika, Nchema amesoma ila hajaelimika kutokana na matendo yake ambayo hayafananii mtu aliyesoma
 
Eti Slaa Muungano kitila Tanganyika! Unakurupuka tu, who is Kitila? Hatutaki watu wa kujifunzia kuongoza. Huyo Dk. wenu kazeeka hatutaki wazee sisi. Bora mtuwekee yule Mkigoma tumchague.
ungesema sitaki ingeeleweka zaidi haliko kusema hatutaki, wewe na nani?
 
Kama aliweza kushawishi hilo hapo kwenye wekundu lisitokee basi si haba kijana ana uwezo. Huenda hao wahitimu wengine wako Mtwara nini, kwani mabomu kama hayo ndiyo yaliyokuwa yantumika Masasi kuunguza majengo wakati wa vurugu
 

Umetumia hivyo vigezo tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…