johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,891
Kama inavyojulikana kwa Utamaduni wa CCM mgombea Urais wa JMT atakuwa Rais Samia na fomu itakuwa Moja
Kwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema inadaiwa atasimama Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo mh Boniface Jacob
Hata hivyo haisemwi kama Tundu Antipas Lisu ana Mpango gani mwaka huo 2025
Ilitegemewa Zitto Kabwe wa ACT wazalendo naye angegombea lakini kwa sasa chama chake kinaunda Serikali kwa ubia na CCM hivyo Utamaduni wa chama tawala wa fomu Moja unawahusu na Wao
Jumaa kareem!
Kwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema inadaiwa atasimama Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo mh Boniface Jacob
Hata hivyo haisemwi kama Tundu Antipas Lisu ana Mpango gani mwaka huo 2025
Ilitegemewa Zitto Kabwe wa ACT wazalendo naye angegombea lakini kwa sasa chama chake kinaunda Serikali kwa ubia na CCM hivyo Utamaduni wa chama tawala wa fomu Moja unawahusu na Wao
Jumaa kareem!