Dr. Justine Katunzi wa UDSM Afariki Dunia

Dr. Justine Katunzi wa UDSM Afariki Dunia

ni dr katunzi aliyewahi kuwa mbunge. alikuwa udbs na leo alikuwa anafundisha darala la mba evening akaanguka ghafla. kufika hosp akawa ameshapoteza maisha. very sad!

kama ni huyo, namfahamu aliwahi kuwa mbunge wa nyang'wale, miaka ilee

RIP mpambanaji, umefia uwanja wa vita, hakika wwwe ni shujaa
 
Poleni wafiwa wote-familia, UDSM na wengineo wote. Mungu ambaye ndiye bingwa wa kutoa faraja namwomba awe faraja kwenu.
 
Tatizo kule kwa waliotangulia wanaunda nchi moja ambayo itakuwa ni 'correction' ya hii hapa duniani, ndio maana vitu vizuri vyote wanataka wao.

1. Mzee akifikisha umri mkubwa, amejaa hekima na busara na uzoefu wa kutosha ambapo tungeweza kumtumia kutusaidia duniani, wanampunguza nguvu wanamchukua...wanatudanganya kazeeka kwa hiyo aondoke

2. Wachezaji mpira wote wazuri wako kwao, tukicheza nao leo matokeo ni wao 100 sisi 0.( wamewahi kuichukua KK 11 yote) wakatuachia kalusha tu.

3. Wanamuziki wote wazuri wanao wao. Hivi tungefanya Kili Awards na wale jamaa huyu 20% wetu angefua dafu kwa kina cool james mtoto wa dandu kweli? Kina Inspekta Esir? TX wamebeba, cheki Remmy wamepiga fitina mpaka wamembeba. Mbaraka Mwinshehe ndo walimuwahisha mapema, Issa Matona ndo kabisaa, Niko Zengekala je? Lwambo je? 2Pac je? Pepe kale? Bob Marley? Michael Jackson? Nasma Kadogo je? Halafu juzi tu hapa wamebeba bendi nzima ya 5 stars jamaniiii!!uuuuuuwiiiii!!!

4. Wamembeba Nyerere wakatuachia hawa jamaa zetu, Wanae Martin Luther King jr, Wanae JF Kennedy wakatuachia akina Bush wapenda vita, wakabeba Sokoine, Wakabeba Chacha Wangwe, Wamepora viongozi woote bora wakatuachia bora viongozi.....uwiiiiii

5. Newton wanaye wao, Kina Chachage wametupora, Kina Mwaikusa wametupora, Kina Harub Othman je......


Sasa tena na Katunzi, uwiiiiiiiiiii uwiiiiiiii hiiiiiiiiiiiiiiii Mnatuonea yaani kila kizuri mbebe nyieeee,

Nyie mnalo jambo nyie!!!! tumechoka kuonewaaaa,

Kwa nini mliotangulia mnataka mchukue wazuri wote kwani tunashindana jamaniiiiiiii MIE LEO NAANDAMANA MWENYEWE, NIMECHOKA UWIIIII MSINIFUTE MACHOZIIIIIIII WAMENINYANGANYA MWALIMU WANGU WA MENEJIMENTIIIIIIII RIPIIIIII RIPIIIIIII RIPIIIIIIIIII KATUNZIIIIIIIII DOKTAAAAAAA UWIIIIII
 
Mungu awafariji wafiwa wote na aipumzishe roho ya Dr Katunzi ktk utukufu wake. Poleni familia, poleni wana UDSM na poleni jamii yote ya watz ni pigo jingine ktk taaluma ncini tz.
 
From this point you can make a song. Will much better than Kifo, Siku ya kufa and even Asanten kwa kuja(by Mrisho Mpoto).
Who knows? DARE.
 
RIP Mama Katunzi.

Poleni jumuiya yote ya UDSM, ndugu, jamaa na marafiki.
 
Hii taarifa imetolewa siku mbaya, yaani 01/04/2011 hata siamini mpaka nifike, hebu nielekeze anakaa wapi? Makongo Juu, Survey au....?
 
R.I.P Dr. J. Katunzi.
Poleni sana wafiwa, family na University of Dar es salaam Business School.
 
RIP Dr Katunzi

Nashukuru kwa uwezo wa kielimu ulionipa mpaka sasa bado nautumia

Mungu akulaze mahali pema AMEN
 
Chuo kikuu cha dsm kimempoteza mhadhiri wake dr.katunzi aliyefariki jioni ya leo akiwa darasani akifundisha kwa hakika ni pigo kubwa kwa jamii ya wasomi wa chuo hicho kikongwe nchini.

Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu ameen.

Inasikitisha mno. Alikuwa ananisimamia dissertation na niko data collection. Ni alikuwa ni mtu makini na mpole sana. Mungu ailaze roho yake mahali pema. Hivi wewe mlimbwa, jina lako ni matusi kwetu iwapo wewe ni mhaya? Samahani kwa kuuliza lkn.
 
Tatizo kule kwa waliotangulia wanaunda nchi moja ambayo itakuwa ni 'correction' ya hii hapa duniani, ndio maana vitu vizuri vyote wanataka wao.

1. Mzee akifikisha umri mkubwa, amejaa hekima na busara na uzoefu wa kutosha ambapo tungeweza kumtumia kutusaidia duniani, wanampunguza nguvu wanamchukua...wanatudanganya kazeeka kwa hiyo aondoke

2. Wachezaji mpira wote wazuri wako kwao, tukicheza nao leo matokeo ni wao 100 sisi 0.( wamewahi kuichukua KK 11 yote) wakatuachia kalusha tu.

3. Wanamuziki wote wazuri wanao wao. Hivi tungefanya Kili Awards na wale jamaa huyu 20% wetu angefua dafu kwa kina cool james mtoto wa dandu kweli? Kina Inspekta Esir? TX wamebeba, cheki Remmy wamepiga fitina mpaka wamembeba. Mbaraka Mwinshehe ndo walimuwahisha mapema, Issa Matona ndo kabisaa, Niko Zengekala je? Lwambo je? 2Pac je? Pepe kale? Bob Marley? Michael Jackson? Nasma Kadogo je? Halafu juzi tu hapa wamebeba bendi nzima ya 5 stars jamaniiii!!uuuuuuwiiiii!!!

4. Wamembeba Nyerere wakatuachia hawa jamaa zetu, Wanae Martin Luther King jr, Wanae JF Kennedy wakatuachia akina Bush wapenda vita, wakabeba Sokoine, Wakabeba Chacha Wangwe, Wamepora viongozi woote bora wakatuachia bora viongozi.....uwiiiiii

5. Newton wanaye wao, Kina Chachage wametupora, Kina Mwaikusa wametupora, Kina Harub Othman je......


Sasa tena na Katunzi, uwiiiiiiiiiii uwiiiiiiii hiiiiiiiiiiiiiiii Mnatuonea yaani kila kizuri mbebe nyieeee,

Nyie mnalo jambo nyie!!!! tumechoka kuonewaaaa,

Kwa nini mliotangulia mnataka mchukue wazuri wote kwani tunashindana jamaniiiiiiii MIE LEO NAANDAMANA MWENYEWE, NIMECHOKA UWIIIII MSINIFUTE MACHOZIIIIIIII WAMENINYANGANYA MWALIMU WANGU WA MENEJIMENTIIIIIIII RIPIIIIII RIPIIIIIII RIPIIIIIIIIII KATUNZIIIIIIIII DOKTAAAAAAA UWIIIIII


UMETUACHIA TAFAKARI YA LEO!

Kazi ya Mol ahaina makosa.

R.I.P Dr Katunzi
 
RIP Mama Katunzi.

Poleni jumuiya yote ya UDSM, ndugu, jamaa na marafiki.

Mnyamahodzo umechemka, this is Justine Katunzi Dr.

Dr. Katunzi is/was a husband to my class mate's sister. Msiba upo Kimara Stop Over.
 
huyu mzee hakuwa na longolongo. Yeye akiingia darasani alikuwa anafanya kilichompeleka pale. HE WAS EXTREMELY OBJECTIVE. POLENI WAFIWA
 
rip dr. katunzi! i will never forget the skills i gained in that 'ob' course.
 
Mlimbwa1977, Dr. Katunzi yupi? Yupo wa Commerce (School of business) ambaye ni Dr. wa siku nyingi na miongoni mwetu alitufundisha Industrial Psychology na yupo Dr. Koku Katunzi wa Education. Ni yupi kati ya hawa>

Someni kichwa cha thread, Dr Justine Katunzi. unakimbilia wapi au umezoea kusoma matokeo ya course work na UE ambapo heading is nothing to you rather than your marks
 
Back
Top Bottom