Matango
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 535
- 118
ni dr katunzi aliyewahi kuwa mbunge. alikuwa udbs na leo alikuwa anafundisha darala la mba evening akaanguka ghafla. kufika hosp akawa ameshapoteza maisha. very sad!
Ni Msiba mkubwa. Poleni wanaUDSM na Jumuiya yote ya Wasomi.