RIP Dr. Justine KatunziWanaJF ni kweli Dr. Justine Katunzi wa DSM amefariki leo hii akiwa anafundisha darasani. Nathibitisha hilo. Huyu alikuwa Lecturer pale Business School - UDSM na alikuwa akifundisha OB. Aliwahi kuwa Mbunge wa Geita, huko Mwanza. RIP Dr. Katunzi
Hebu semeni Katunzi yupi jamani? Koku Katunzi bado hajawa Dr. Hebu tutoni wasiwasi. Nyie watoto mna kawaida ya kuita kila mtu Dr hata TA mnamwita Dr.
yasemekana ni kiharusiYaa basi ndio yule wa bcom. Mana alikuwa mbunge those days. Nini kimemsibu kumfika mauti? R.I.P dk